barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,378
- 29,739
Jivunie UKUTA mkuu.Duu kweli Lumumba wameajiri vituko unatujazia Server mkuu sio lazima ipost mkuu unatia kinyaa
Watoto waliotengenezewa Nyumba za Wageni utawajua tu wanawaza matusi.Mimba yako ilitungwa Guest unategemea nini zaidi ya kuwa unawaza matusi tuJivunie UKUTA mkuu.
Hivi anayewaza matusi ni nani kati ya mimi na wewe??Watoto waliotengenezewa Nyumba za Wageni utawajua tu wanawaza matusi.Mimba yako ilitungwa Guest unategemea nini zaidi ya kuwa unawaza matusi tu
Tafsiri sentensi yako nzima ukiandika ujinga utajibiwa ujinga mkuu sio kila kitu mnaleta utoto.UKUTA maana yake ni Umoja wa Kupambana na Udictator Tanzania sasa nani anayeshika ukuta.mlaumu bi mkubwa wakoHivi anayewaza matusi ni nani kati utoto. na wewe??
UKUTA ni kitu kigeni kwako??
Mungu huwa hajaribiwi, Dr Magufuli kawekwa na Mungu maana kama hela mamvi alihonga mpaka wachungaji uchwara.
"Kiongozi hata awe mzuri vipi lakini kama anavunja demokrasia hatufai"-Julius Kambarage NyerereHakika Mungu ni mkuu. Mwl nyerere alipata kusimulia hadithi nzuri sana ambayo inawajibu wanafiki wote wanaompigia kelele Dr Magufuli. Sikiliza audio ya Mwl Nyerere hapa chini
Wasikilize siku moja utawasikia wakisema,majaribio 8 ya mapindunzi yalifanywa wakati wa chama kimoja.
Waambieni wasitugeuze watu wa kale kwa kutulisha vyakula vya juzi,jana na leo pamoja wakati wakijua huo ni uchufu mkubwa sana.
Ni hao ambao walikuwa msitari wa mbele katika kubeza maendeleo yaliopatika kwa miaka 50 ndani ya ccm.
Bado wanaendelea kubeza dhamira madhubuti na mikakati ambayo inaonyeshwa na JPM kwa ajili ya kuijenga Tanzania.
MMEZIDI KUTUGEUZA WATU WA KALE
Uchufu mkubwa sanaWasikilize siku moja utawasikia wakisema,majaribio 8 ya mapindunzi yalifanywa wakati wa chama kimoja.
Waambieni wasitugeuze watu wa kale kwa kutulisha vyakula vya juzi,jana na leo pamoja wakati wakijua huo ni uchufu mkubwa sana.
Ni hao ambao walikuwa msitari wa mbele katika kubeza maendeleo yaliopatika kwa miaka 50 ndani ya ccm.
Bado wanaendelea kubeza dhamira madhubuti na mikakati ambayo inaonyeshwa na JPM kwa ajili ya kuijenga Tanzania.
MMEZIDI KUTUGEUZA WATU WA KALE
Dr Magufuli hajavunja demokrasia. Ila nyie wapinzani ndiyo mnalengo la kuvuruga amani yetu. Mnahubiri chuki, mnashabikia ufusadi. Nchi hii ni yetu sote, tuache kufitiana. Hivi akina Mbowe wageenda wanahimiza wanachi wafanye kazi, wanawashukuru wananchi kwa kuwapigia kura nani angewazuia kufanya mikutano??? Lakini wao wanaenda kuwaambia wananchi wasilipe kodi, wananchi wasifanye kazi waandamane kuipindua serikali iliyoko madarakani, wanahimiza vijana wanywe viroba badala ya kazi, n.k."Kiongozi hata awe mzuri vipi lakini kama anavunja demokrasia hatufai"-Julius Kambarage Nyerere
"Kiongozi hata awe mzuri vipi lakini kama anavunja demokrasia hatufai"-Julius Kambarage Nyerere
Nyerere na Demokrasia wakati wa utawala wake ni kama Mbuzi na Maji"Kiongozi hata awe mzuri vipi lakini kama anavunja demokrasia hatufai"-Julius Kambarage Nyerere
Ndio kayasema hayo,kipindi chake ndio tulikuwa kwenye transition kuja kwenye demokrasia!Ndio maana ni yeye pekee alitawala kwa miaka 23 baada ya Uhuru!Nyerere na Demokrasia wakati wa utawala wake ni kama Mbuzi na Maji
Transition gani kukuta Vyama vingi na kuvifuta then useme ni mpenzi wa DemokrasiaNdio kayasema hayo,kipindi chake ndio tulikuwa kwenye transition kuja kwenye demokrasia!Ndio maana ni yeye pekee alitawala kwa miaka 23 baada ya Uhuru!
Hujui historia ya nchi hii ndio maana unapayuka,amekuta vyama vipi Vingi na kuvifuta!Hujui nchi ameitoa kwa mkoloni?Transition gani kukuta Vyama vingi na kuvifuta then useme ni mpenzi wa Demokrasia
If you argue with fools,they will drag you down to their level and defeat you with experience,I won't be part of it!Dr Magufuli hajavunja demokrasia. Ila nyie wapinzani ndiyo mnalengo la kuvuruga amani yetu. Mnahubiri chuki, mnashabikia ufusadi. Nchi hii ni yetu sote, tuache kufitiana. Hivi akina Mbowe wageenda wanahimiza wanachi wafanye kazi, wanawashukuru wananchi kwa kuwapigia kura nani angewazuia kufanya mikutano??? Lakini wao wanaenda kuwaambia wananchi wasilipe kodi, wananchi wasifanye kazi waandamane kuipindua serikali iliyoko madarakani, wanahimiza vijana wanywe viroba badala ya kazi, n.k.