tatanyengo JF-Expert Member Joined Mar 30, 2011 Posts 1,133 Reaction score 280 Aug 30, 2012 #1 Wadau wa Sekta ya Elimu jaribuni kupitia mafanikio na changamoto za elimu hapa nchini. EDUCATION SECTOR PERFORMANCE REPORT 201011 (1.08 MB)
Wadau wa Sekta ya Elimu jaribuni kupitia mafanikio na changamoto za elimu hapa nchini. EDUCATION SECTOR PERFORMANCE REPORT 201011 (1.08 MB)
K Kimbori JF-Expert Member Joined Feb 21, 2012 Posts 6,112 Reaction score 4,540 Aug 31, 2012 #2 Ahsante sana ndugu. Nitaisoma baadaye, kwani tumezoea kusikia sifa lukuki ili hali wahitimu wasiojua kusoma na kuandika ikiongezeka, n.k
Ahsante sana ndugu. Nitaisoma baadaye, kwani tumezoea kusikia sifa lukuki ili hali wahitimu wasiojua kusoma na kuandika ikiongezeka, n.k
tatanyengo JF-Expert Member Joined Mar 30, 2011 Posts 1,133 Reaction score 280 Aug 31, 2012 Thread starter #3 Watanzania wengi hatuna utamaduni wa kusoma ripoti. Nahisi watakaosoma ripoti hii ni wachache.Ingekuwa porojo wengi tungeichagamkia!!!!
Watanzania wengi hatuna utamaduni wa kusoma ripoti. Nahisi watakaosoma ripoti hii ni wachache.Ingekuwa porojo wengi tungeichagamkia!!!!