Since 1998. na walikua wa mwisho kwenye kundi.Ndani ya Miaka 24 kama sio 25, Yanga haijawai Kuingia Makundi CAF CL..!
Simba inayo Rekodi ya Kuvaa Medali za Fainali ya CAF...! Yawezekana ulikuwa bado hujazaliwa...! 1993
umesahau,walifanya ulozi hadharani lkn wapi!!!Simba kwa miaka mitano ya ubora wao wamefanikiwa kufika robo final ya club bingwa mara 4 na robo final ya Caf federetion mara 1
Yanga mwaka mmoja wa ubora wao wamefanikiwa kufika final ya Caf federetion
Ambayo simba walitamani kufika mwaka jana
Kwa bahati mbaya roho ya robo ikawafuata mpaka federetion cap
Vita bado mbichi [emoji23][emoji28][emoji23]
Rudi tu fesibuku mkuu huku sio level zako
Ndo anaingia mwaka huu na kufika finalNdani ya Miaka 24 kama sio 25, Yanga haijawai Kuingia Makundi CAF CL..!
Simba inayo Rekodi ya Kuvaa Medali za Fainali ya CAF...! Yawezekana ulikuwa bado hujazaliwa...! 1993