Mafanikio ya wanaume hupimwaje?

mwanaume anayenyanyaswa na mke wake home utamjua tu na kama ni bosi mtakoma hapo ofisini kwani ananza kugomba bila mpangilio hata kabla hajashuka kwenye gari. Kisa haziivi na mke wake nyumbani.

mbona unaongea kwa hasira.. Kwema lakin?
 
Kwa karne hii kumpata mwenza ambaye ni free-from malalamiko inabidi usugue goti sana,
Somo zuri.
 
Mkuu, somo zuri. Hiyo picha uliyotumia ni ya ndoa changa. Ukiweza kupata picha ya watu haohao baada ya kuwa kwenye ndoa miaka kumi hutaamini unachokiona.
 
Ni kweli kabisa huyu ni confirmed mzinifu lol....partner wake alikuwa Minister I think, kwasasa amebadilisha channel, anakitu kipya ambaye alikuwa ni Journalist.

Wafaransa ni watu ambao hawaamini sana mambo ya marriage, thats my point of view.

mhhhhhhhhhh
 
Mkuu, somo zuri. Hiyo picha uliyotumia ni ya ndoa changa. Ukiweza kupata picha ya watu haohao baada ya kuwa kwenye ndoa miaka kumi hutaamini unachokiona.
gmosha48 somo hili nimewalenga zaidi wanandoa wachanga na wale wanaoelekea kwenye ndoa..........
Wale ambao tayari wako kwenye ndoa na miaka imeshasonga 10+ linawahusu kwa ajili ya kuboresha tu ndoa zao.
Niliona ni vyema kutumia picha hiyo ili kupromoti ndoa kwa vijana....
Mie nishajizeekea zangu na mama Ngina na sasa tunalishana ugoro hapa tukisogeza siku zetu za kuelekea ukingoni.....LOL
 

Nakubaliana na wewe mtambuzi kwenye hii mada yako. Mafanikio ya mume kazini na kwingineko kwa sehemu kubwa kuna changiwa na +ve support toka kwa mkewe.

Mfano wa wazi ni chunguza ndoa nyingi sana ambazo mume ni mlevi kupindukia, utagundua kuwa mkewe huko nyumbani mambo hayaendi vzr, ni mkosoaji, mgomvi na mlalamishi na hivyo kumfanya mume anakosa kujiamini na kuamua kupitia bar kupiga pombe kupunguza mawazo na kujijengea ujasiri wa kurudi nyumbani! Jambo hili huchangia kupunguza kujiamini na kushuka kwa perfomance ya kazi ofisini na kuleta umaskini ndani ya familia. Nahisi pia, hata saa nyingine sababu moja wapo ya mwanaume kuwa na nyumba ndogo ni kuwa na mwanamke mlalamishi, mkosoaji, mwenye ghubu asiye na support kwa mumewe!
 

kwa upande wangu mie mafanikio ya mwanaume nayapima kwa anavyoweza tafuta hela nyingi kuliko uwezo wangu wakutumia pesa zake na kuzimalioza...yaani hata nikitumiaje siwezi kuzimaliza....
 
babu Mtambuzi nice somo, believe me! i hope hubby wangu YM atapita huku aone, kuwa hata yeye hatakiwi kuwa na gubu lol!
 
Last edited by a moderator:
In no particular order
  1. money
  2. providing/caring for wife + children
  3. calm under pressure + emergencies
  4. balancing work and family life
 
Hakuna kampuni inayomchunguza mke, hiyo itakuwa highly illegal na lawsuits lazima zitafuata.
 
Hivi ndoa changa anakuwa zaidi na kuacha kuitwa changa baada ya miaka mingapi?
 
Hivi ndoa changa anakuwa zaidi na kuacha kuitwa changa baada ya miaka mingapi?
Kimbweka inasemwa baada ya miaka kumi ndio ndoa inachukuliwa kama imepevuka na kutoitwa ndoa changa.
 
Last edited by a moderator:
hiyo picha imenivutia hivi hayo mambo bado yapo karne hii kwa wanandoa wenye watoto au hata ambao hawajazawadiwa watoto.
 
hiyo picha imenivutia hivi hayo mambo bado yapo karne hii kwa wanandoa wenye watoto au hata ambao hawajazawadiwa watoto.
Asnam mimi na mama Ngina siku moja moja huwa tunakumbushia hayo maloveee na tuna watoto watatu mpaka sasa tukielekea kutimiza miaka kumi ya kuishi pamoja.........
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…