Mafanikio yanahitaji uvumilivu pamoja na kujituma.

Mkulima wa kawaida

Senior Member
Joined
Dec 22, 2012
Posts
167
Reaction score
37
Nilianza kuuza karanga kwenye maeneo ya stand za mabasi, nikahamia kuuza saa, baada ya kupata kidogo nikatafuta shule ya evening class nikasoma hadi kidato cha nne nikapata div II: 20. Nikachaguliwa kidato cha tano (PCB), Nikahitimu 4m 6 nikapata div III:13, Nikaomba SUA (B.SC. Agriculture General), baada ya hapo nilifungua kampuni na ninafanya biashara ya maza (agribusiness) na wakati huo huo nimepata shavu serikalini. Wadau hayo ni machache lakini tujitume zaidi.
 
Hongera sana you are a fighter keep fighting
 
Kaka hongera sana, naamini hapo hujaeleza namna ulivyosoma, namna ulivyobahatisha hata kupata nauli,,viatu, nguo na pengine hata kutoswa na yule uliyekuwa unampenda na mengineyo.

Mungu atujalie uzima
 

Mkuu hongera sana,hayo mambo ya kuanza kuuza karanga ulianza ukiwa na umri gani?maana wengine ni form 6 ya div 4,umri ni above 34 na hakuna mitaji wala hata ajira ya kubangaiza!lete ushauri wako jamvini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…