Toa taarifa ppf kimaandishi baada ya hapo watamfuatilia na watampiga faini ya 5 percent kwa kila muajiriwa kwa kila mwezi...ppf ndio wanamshitaki so we jukumu lako ni kupeleka taarifa kimaandishi tu na ni siri yako we na ppf
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums