Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Habari zilizotufikia hivi punde zinasema zinasema ule mchakato wa kuwapunguza wafyakazi wa ATCL umeingia katika mzozo mkali kati ya Mwenyekiti wa Bodi, wajumbe VS wafanyakazi wa ATCL.
Akiongea kwa masikitiko mwandishi wetu ambae alifanikiwa kujipenyeza katika kikao cha wafanyakazi kilichofanyika makao makuu na kufanikiwa kupata nauli ya 5000 alisema mzozo mkubwa upo kati ya wafnyakazi na mwenyekiti wa bodi ya ATCL ambapo katika uchunguzi wetu inasemekana mwenyekiti.
Balozi Nyanganyi anataka wale waliofanya mwaka 1-10 walipwe mafao ya mwezi mmoja kwa kila mwaka ;wakati wale waliozidi kuanzia 11- nk walipwe mshara wa nusu mwezi kwa kila mwaka waliozidisha...
Jambo hili lilikemewa na baadhi ya wafanyakazi ambapo katka kupunguza makali ya wafanyakazi mmoja wao alipewa barua ya warning latter kwa kumlalamikia mwenyekiti wa bodi mbele ya wafanyakazi, hili ni jambo la kusikitisha sana kuona viongozi ambao wanatumia madaraka vibaya kuamua kutumia njia ya kutishia wafanyakazi kuficha maovu ...
Baadhi ya wafanyakazi walilalamikia hata jinsi mchakato wa kupnguzwa unavyoedelea huku wengine wakiwa na hamu na shauku kubwaya kuondoka ...katika mlolongo huo wa maswali baadhi ya watu waliuliza maswali kadhaa yakiwemo
1) Je zoezi hili zima ni kwa maslahi ya kampuni amakujifurahisha.katika hili walisema pamoja na kweli zoezi ni muhimu inashangaza kuona pesa nyingi zinatumika kwenye uongozi wa juu ambapo ukija kuangalia ni tofauti ndogo huku mengine yakibaki kama kawaida.
Wakiongezea wanasema haiwezeekani Bodi na Menejiment husika iendelee kubaki huku ndio waliochangia kulimaliza shirika hili.
Hebu angalia nanukuu
1) BALOZI Nyanganyi kama mwenyekiti wa bodi alihusika moja kwa moja kuliingizia taifa na shirika hasara ya ajabu kwa kubishana na menejiment kuhusu uwezekano wa kupeleka mahujaji macca..mpaka leo hii si wizara wala mtu yoyote aliehusika kuadhibiwa kwa upotevu wa pesa za walipa kodi yani watanzania....
2) Ndege ya AIRBUS iliyoletwa na menejiment wakishirikiana na bodi ya atcl wameliingizia TAIFA Na kampuni hasara kubwa zaidi ya billions kwa kusaini mkataba mbovu wa miaka sita...kwa kulipa USD 360,000 kwa mwezi huku bei halali katika soko kwa ndege mpya na nzuri 220,000-260,000 usd..
Jambo hili halikukemewa mpaka walipoona wanashindwa kulipa na dondoo zinasema ni pale mbaya ni pale walilipojulikana kuna baadhi ya viongozi wa juu waliokuwa wakipata mgao wakiwemo maofisa wa juu wa wizara ya miundombinu...
Kampuni imekuwa ikibeba hasara zisizotarajiwa huku bodi ikipitisha kila kitu bila kujali ipo siku zile zinazoliwa zinaisha muda wake...inasikitisha mapka leo hii ndege inasemekana mwenye ndege kaamua kuichukua na huku akiidai serikali na kampuni usd doller million 11.5 na kutishia kuipeleka mahakamani serikali kudai pesa yake..
Hili ni jambo la kusikitisha na mbaya zaidi wale wale waliolifikisha shirika hapo lilipo bado wapo na serikali inatarajia mabadiliko .....
Akiongea kwa masikitiko mwandishi wetu ambae alifanikiwa kujipenyeza katika kikao cha wafanyakazi kilichofanyika makao makuu na kufanikiwa kupata nauli ya 5000 alisema mzozo mkubwa upo kati ya wafnyakazi na mwenyekiti wa bodi ya ATCL ambapo katika uchunguzi wetu inasemekana mwenyekiti.
Balozi Nyanganyi anataka wale waliofanya mwaka 1-10 walipwe mafao ya mwezi mmoja kwa kila mwaka ;wakati wale waliozidi kuanzia 11- nk walipwe mshara wa nusu mwezi kwa kila mwaka waliozidisha...
Jambo hili lilikemewa na baadhi ya wafanyakazi ambapo katka kupunguza makali ya wafanyakazi mmoja wao alipewa barua ya warning latter kwa kumlalamikia mwenyekiti wa bodi mbele ya wafanyakazi, hili ni jambo la kusikitisha sana kuona viongozi ambao wanatumia madaraka vibaya kuamua kutumia njia ya kutishia wafanyakazi kuficha maovu ...
Baadhi ya wafanyakazi walilalamikia hata jinsi mchakato wa kupnguzwa unavyoedelea huku wengine wakiwa na hamu na shauku kubwaya kuondoka ...katika mlolongo huo wa maswali baadhi ya watu waliuliza maswali kadhaa yakiwemo
1) Je zoezi hili zima ni kwa maslahi ya kampuni amakujifurahisha.katika hili walisema pamoja na kweli zoezi ni muhimu inashangaza kuona pesa nyingi zinatumika kwenye uongozi wa juu ambapo ukija kuangalia ni tofauti ndogo huku mengine yakibaki kama kawaida.
Wakiongezea wanasema haiwezeekani Bodi na Menejiment husika iendelee kubaki huku ndio waliochangia kulimaliza shirika hili.
Hebu angalia nanukuu
1) BALOZI Nyanganyi kama mwenyekiti wa bodi alihusika moja kwa moja kuliingizia taifa na shirika hasara ya ajabu kwa kubishana na menejiment kuhusu uwezekano wa kupeleka mahujaji macca..mpaka leo hii si wizara wala mtu yoyote aliehusika kuadhibiwa kwa upotevu wa pesa za walipa kodi yani watanzania....
2) Ndege ya AIRBUS iliyoletwa na menejiment wakishirikiana na bodi ya atcl wameliingizia TAIFA Na kampuni hasara kubwa zaidi ya billions kwa kusaini mkataba mbovu wa miaka sita...kwa kulipa USD 360,000 kwa mwezi huku bei halali katika soko kwa ndege mpya na nzuri 220,000-260,000 usd..
Jambo hili halikukemewa mpaka walipoona wanashindwa kulipa na dondoo zinasema ni pale mbaya ni pale walilipojulikana kuna baadhi ya viongozi wa juu waliokuwa wakipata mgao wakiwemo maofisa wa juu wa wizara ya miundombinu...
Kampuni imekuwa ikibeba hasara zisizotarajiwa huku bodi ikipitisha kila kitu bila kujali ipo siku zile zinazoliwa zinaisha muda wake...inasikitisha mapka leo hii ndege inasemekana mwenye ndege kaamua kuichukua na huku akiidai serikali na kampuni usd doller million 11.5 na kutishia kuipeleka mahakamani serikali kudai pesa yake..
Hili ni jambo la kusikitisha na mbaya zaidi wale wale waliolifikisha shirika hapo lilipo bado wapo na serikali inatarajia mabadiliko .....