Mafarao walikuwa Waarabu

Mafarao walikuwa Waarabu

jeipm

JF-Expert Member
Joined
Sep 28, 2018
Posts
500
Reaction score
825
Hili Jambo limekuwa likinitatiza sana hasa nchini Misri na Israel.

Kumekuwa na mtindo wa kufukua makaburi ya watu wa kale kwa kisingizio cha kufanya tafiti za kihistoria.

Hivi hao watu waliozikwa kwenye hayo maeneo wangekuwa Waarabu toka enzi na enzi kweli wangediriki kufanya hivi vitendo vya kufukua makaburi ya wazee wao? Wakati hata Imani zao za kidini zinakataza Jambo hili.

Nikawa najiuliza mbona kuna nchi nyingi ambazo Zina historia ndefu na tamaduni za karne na karne lakini hichi kitendo Cha kufukua makaburi ya wazee wao ni mwiko kufanya, mfano nchi hizo no India, China, Korea, Japan na nchi za Ulaya.

Isije ikawa mababu zetu ndio wanadhihakiwa huko, huku sisi tumelala usingizi wa pono kwenye hizi nchi za Giza ambazo hakuna ustaarabu, tamaduni Wala historia yetu.
 
Mkuu ungekuwa unajua hizo relics za pharaos zinaumuhimu gani katika uchumi wa Misri na historia ya dunia nadhani usingewaza hivyo.

Mara nyingi kufukua masalia ya watu wa kale hakufanyiki hovyo tu. Kwanza malengo makubwa huwa ni katika issue za kisayansi hasa reseaches za evolution, history, medicine, anthropology n.k

Hao researchers wana obtain permits kutoka kwa wenye mamlaka.

Hebu angalia hapa mwezi jana mummies za pharaos zikihamishwa.

 
Hawa watu hawakuwa waarabu, waarabu ni wavamizi tu na wanavuna pesa kupitia historia ambazo haziwagusi moja kwa moja. Siyo Misri tu, originally Afrika haikuwa waarabu, wazungu au wahindi, hawa ni mabeberu waliohamia humu, ingekuwa kuna uwezo dawa ingekuwa ni kuwarudisha walikotokea.

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
China mbona wamafukua hata mwaka juzi walipa mummy ambaye kwa nguo alizofaa anaonekana kuwa alikuwa from a noble family.
Egypt shida siyo makaburi, Egypt ina story ya kipekee unajua mpaka sasa hivi zile pyramid hazujulikani ni nini hasa lilikuwa lengo ya kuzijenga. Yale siyo makaburi ni zaidi ya makaburi.
 
Mafarao walikuwa berbers sio ngozi nyeusi wala waarabu. Huwa nachukia sana ngozi nyeusi inapolazimisha historia iwe upande wake, utasikia mara Yesu alikuwa mtu mweusi, mara mafarao walikuwa weusi na Misri ilikaliwa na watu weusi kabla ya Waarabu.
 
Hawa watu hawakuwa waarabu, waarabu ni wavamizi tu na wanavuna pesa kupitia historia ambazo haziwagusi moja kwa moja. Siyo Misri tu, originally Afrika haikuwa waarabu, wazungu au wahindi, hawa ni mabeberu waliohamia humu, ingekuwa kuna uwezo dawa ingekuwa ni kuwarudisha walikotokea.

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
Wapi walikotokea?
 
Mafarao walikuwa berbers sio ngozi nyeusi wala waarabu. Huwa nachukia sana ngozi nyeusi inapolazimisha historia iwe upande wake, utasikia mara Yesu alikuwa mtu mweusi , mara mafarao walikuwa weusi na Misri ilikaliwa na watu weusi kabla ya waarabu.
Kwahio lugha ambayo walikua wakitumia ni lungha gani
 
Yale mawe yaliyojengea pyramids kwa technology ya leo hakuna crane inaweza kuyabeba, mahesabu yaliyotumika kuyapanga na yasianguke hivi vitu vinamuumiza kichwa mzungu.
 
Hapa nimewasomea jamaa huu uzi wamecheka sana, hivi, mm mwenye jana usiku nilicheka sn, hivi mkikaa huwa mnawazaje mambo kama hayo [emoji23], eti isijekua wanawadhihaki mababu zetu, unajua kila kitu kinaenda na historia, kweli mafarao wengi walikua wanaimani za kichawi ndio maana hizo symbols [emoji650] zinajionyesha wazi, vitabu pia vinaeleza
 
Yale mawe yaliyojengea pyramids kwa technology ya leo hakuna crane inaweza kuyabeba, mahesabu yaliyotumika kuyapanga na yasianguke hivi vitu vinamuumiza kichwa mzungu.
Watumwa wengi ambao walikua wako chini ya tawala hizo ndio waliojengengeshwa majengo hayo
 
MAFARAO walikuwa NUBIANS (Waafrika weusi).....wacha kujilazimisha kuamini ujinga.
 
Back
Top Bottom