N'yadikwa
JF-Expert Member
- Aug 10, 2014
- 7,427
- 10,905
This is too much tukutane 2025...hii barabara itatoka na mtu kwenye kiti. Haiwezekani ukanda huu tuzalishe
1. Chai
2. Karatasi
3. Mbao
4. Kahawa
5. Hardboard
6. Pareto
7. Parachichi
8. Nguzo za umeme na simu
9. Mahindi na nafaka kibao
10. Cinchona (miti ya kuzalishia dawa za malaria)
Nk
Lakini miaka nenda rudi mnatupiga kalenda tu mbunge Kihenzile inabidi ujitafakari 2025 haitakuwa rahisi kwako huku Jimboni, tumechoka siasa za kila mwaka lami haiwekwi...
Uzi.
1. Chai
2. Karatasi
3. Mbao
4. Kahawa
5. Hardboard
6. Pareto
7. Parachichi
8. Nguzo za umeme na simu
9. Mahindi na nafaka kibao
10. Cinchona (miti ya kuzalishia dawa za malaria)
Nk
Lakini miaka nenda rudi mnatupiga kalenda tu mbunge Kihenzile inabidi ujitafakari 2025 haitakuwa rahisi kwako huku Jimboni, tumechoka siasa za kila mwaka lami haiwekwi...
Uzi.