Nzowa Godat
JF-Expert Member
- Jun 15, 2011
- 2,785
- 821
kwanini mnaotumia M pesa msiende kudai hela zenu wa kigoma kuzitoa mnaenda polisi kwa nini usipewe hela zako au sio..
Cra.p cra.p acheni consipirancy,kama wameweza kuweka kwenye m-pesa kwanin wasizitoe wakaifadhi kwenye malocker ndani kwao,acheni ujinga fanyeni kazi bwana.
Wakuu, mna habari kwamba mafisadi wameficha fedha kwenye m-pesa za watz wote? Sema tu wamezipiga pini hazichukuliki wala kuhamishika. Ni substancial amount, laki 8, 7, sita n.k. mpaka bank accounts updating itakapomalizika watazirudisha kwenye original a/c.