Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Patrick Mutesa Mafisango........Athuman idd chuji
Athuman idd chuji
The late Patrick Mutesa Mafisango.
Kwa sababu kadhaa
1. Alifanya nishuhudie live uwanjani tukimpiga utopolo 5-0.
.
2. Patrick alikuwa na uwezo mkubwa wa kucheza kiungo akikaba kwa nguvu na kupandisha mashambulizi kwa ustadi wa hali ya juu. Thank God tumepata mrithi wake japo hajamfikia sana Triple C mwamba wa Lusaka.
Chuji alikuwa mashine aise. Nakumbuka Kuna gemu moja hivi na Cameroon hapa Bongo jamaa alitisha!
Patrick Mutesa Mafisango........
Patrick Mutesa Mafisango,alikuwa ana vitu vingi na anapiga kazikazi kwenye dimba.
Kuna ile mechi ya Al Alhy Shandy vs Simba marudiano kule Sudan jamaa alipiga sana mpira mwingi na ndio ilikuwa mechi yake ya mwisho kimataifa.
Chuji anaweza ila kuna muda alikuwa anacheza kistaa sana.
Tuacheni ushabiki,,wote wanajua hadi kero ila Athuman Idd Chuji kwa uhalisia ni bora zaidii..
sawa na useme Steven Gerrard,,Frank Lampard na Paul Scholes nan bora,,kwa uhalisia Paul Scholes ni bora japo wote n wazuri
hayo maelezo yangu yanaeleweka sn kuwa kwangu Chuji nampa nafasi wote nawaheshimu...Soma tena uzi wangu vizuri, kuna sehemu nilisema nani alikuwa bora? Nimeuliza utampa nafasi nani kati ya hao wawili? Wote nawakubali sana katika ubora wao!
Mungu amlaze mahali pema peponi Mafisango
Sent from my iPhone using Tapatalk
Ulivyonichambulia Chama Triple C na ulivyonitajia Fundi Jonas Mkude kibali cha kutembea kifua mbele pasipo kuogopa Corona umekipata..Mimi kama mpenda soka, shabiki na mwanachama wa klabu ya Simba naomba nizungumze kitaalamu sasa ili tuelewane naweka mihemko yangu pembeni maana najijua.
.
Mafisango ni binadamu aliyeleta ukamilifu wa neno KIUNGO WA KATI Katika soka la bongo aliutendea haki mpira Mafisango.
Miguu yake ilikuwa na maamuzi ya Kifaransa miguu ambayo inavutia kuitazama muda wote wa mchezo awapo uwanjani.
Mafisango alikuwa chini ya Milovan Cirkovic wakati ule ulikuwa unataka nini huwezi kukipata kutoka kwa Patrick Mafisango utaalamu wa chenga? Shahidi Shedrack Nsajingwa au Godfrey Taita kiungo wa chini mwenye akili ya mpira watakueleza.
Jezi yake namba 30 muda wote imelowa jasho, Jasho la ukweli.
Mwaka 2012 Patrick Mafisango na Mwinyi Kazimoto wakicheza nyuma ya Haruna Moshi Boban kuwazunguka Emanuely Okwi,Felix Sunzu na Uhuru Sulemani na kuipa adhabu Yanga kwa jumla ya goli 5-0 ilikuwa ni kazi ya Mafisango.
Leo hii tuna Clatous Chota Chama mchawi wa pasi kutoka Zambia unaifahamu Zambia?
Na Chama ndie Mafisango mpya moja kati ya viungo wenye uwezo mkubwa sana katika kulitendea haki eneo la kiungo la Simba kwa sasa mchezaji ambae hachoshi kumtazama awapo uwanjani and this was what Mafisango was doing.
Kwa sasa kikosi cha Simba kinabebwa sana na uwepo wa Clatous Chota Chama katika eneo la kiungo Chama anautuma mpira na mpira unamtii ni viungo adimu sana kuwahi kuonekana miaka ya hivi karibuni Simba inajivunia sana huduma ya Chama
Chama ni mtaalamu wa pasi za kila aina pasi za mbali na pasi fupifupi za karibu Chama kapunguza majukumu ya Jonas Mkude na kurahisisha kazi ya upachikaji magoli.
Chama Anakupatia Burudani uwanjani, pasi za uhakika na anafanya kila kiungo anaecheza kando yake kumiliki sehemu ya kiungo vyema yani wote kwa pamoja Chama anafunga magoli matamu (solo goal) hivi unataka nini cha zaidi kutoka kwa Clatous Chama?
Nimechoka na huyu ndiye Mafisango mpya. Rest easy Patrick
Hana tofauti za Haruna moja, linapokuja swala la kujitambuaKatika ubora wake alikuwa mchezaji haswaa, kwanini aliishia kucheza bongo? Au hakupata washauri wazuri?
Mjadala huu utaathiriwa zaidi na mapenzi ya vilabu vyetu tunazoshabikia sizani kama atakuja hapa shabiki wa Yanga aampe sifa MAFISANGO..Wote nimepata kuwashuhudia na wote walikuwa bora haswa sema binadamu sie wanafiki sana tena mnooo hasa mtu akitangulia mbele ya haki... Japo sio vibaya sana kumpa mtu sifa ila ziwe sifa stahili, Athumani Idd Chuji kwangu nampa nafasi yaan hata movement yake tu inakukosha... Huyu nafikiri bangeh na hata namna ya uendeshaji wa klabu zetu ndio ulifanya tusipate radha halisi ya mpira...
Shida ya Mwamba wa Lusaka ni kwenye kukaba, tofauti na Mafisango ambaye alifanya vyote ikiwamo kukaba kwa nguvu! R.I.P Mafisango mechi yake ya mwisho Simba ilifungwa kule Sudan, nakumbuka Kaseja alipiga vyongo penati yake!Mimi kama mpenda soka, shabiki na mwanachama wa klabu ya Simba naomba nizungumze kitaalamu sasa ili tuelewane naweka mihemko yangu pembeni maana najijua.
.
Mafisango ni binadamu aliyeleta ukamilifu wa neno KIUNGO WA KATI Katika soka la bongo aliutendea haki mpira Mafisango.
Miguu yake ilikuwa na maamuzi ya Kifaransa miguu ambayo inavutia kuitazama muda wote wa mchezo awapo uwanjani.
Mafisango alikuwa chini ya Milovan Cirkovic wakati ule ulikuwa unataka nini huwezi kukipata kutoka kwa Patrick Mafisango utaalamu wa chenga? Shahidi Shedrack Nsajingwa au Godfrey Taita kiungo wa chini mwenye akili ya mpira watakueleza.
Jezi yake namba 30 muda wote imelowa jasho, Jasho la ukweli.
Mwaka 2012 Patrick Mafisango na Mwinyi Kazimoto wakicheza nyuma ya Haruna Moshi Boban kuwazunguka Emanuely Okwi,Felix Sunzu na Uhuru Sulemani na kuipa adhabu Yanga kwa jumla ya goli 5-0 ilikuwa ni kazi ya Mafisango.
Leo hii tuna Clatous Chota Chama mchawi wa pasi kutoka Zambia unaifahamu Zambia?
Na Chama ndie Mafisango mpya moja kati ya viungo wenye uwezo mkubwa sana katika kulitendea haki eneo la kiungo la Simba kwa sasa mchezaji ambae hachoshi kumtazama awapo uwanjani and this was what Mafisango was doing.
Kwa sasa kikosi cha Simba kinabebwa sana na uwepo wa Clatous Chota Chama katika eneo la kiungo Chama anautuma mpira na mpira unamtii ni viungo adimu sana kuwahi kuonekana miaka ya hivi karibuni Simba inajivunia sana huduma ya Chama
Chama ni mtaalamu wa pasi za kila aina pasi za mbali na pasi fupifupi za karibu Chama kapunguza majukumu ya Jonas Mkude na kurahisisha kazi ya upachikaji magoli.
Chama Anakupatia Burudani uwanjani, pasi za uhakika na anafanya kila kiungo anaecheza kando yake kumiliki sehemu ya kiungo vyema yani wote kwa pamoja Chama anafunga magoli matamu (solo goal) hivi unataka nini cha zaidi kutoka kwa Clatous Chama?
Nimechoka na huyu ndiye Mafisango mpya. Rest easy Patrick