Mafua makali na kusikia baridi

amu

JF-Expert Member
Joined
Aug 8, 2012
Posts
16,132
Reaction score
31,149
Jamani mwenzenu naumwa balaa na hivyo viwili yaani nimelala tu siku nzima.
Namafua makali sana na nasikia baridi balaa.
 
Pole sana my sweetie sweetie amu,
Kesho ntakuja kukuona.

Get well soon dearest!
 
Last edited by a moderator:
Kimenuka chitchat MZIMU WA Baba V waendelea kutesa watu CC
 
Last edited by a moderator:
vyote viwili dawa yake ni moja tu, na ni mimi pekee ndio naijua...
 
Jamani mwenzenu naumwa balaa na hivyo viwili yaani nimelala tu siku nzima.
Namafua makali sana na nasikia baridi balaa.
mpm MziziMkavu huwa hakosi dawa
 
Last edited by a moderator:
Hayo maradhi ni laana zetu wanaJF CC Arusha kwa kuwa ulikuja hapa hutaka kutupa hi! Anyway pole sana binti amu. Dawa yake unachemsha maji nusu lita, yakiwa na vuguvugu unachanganya na kiroba cha konyagi then unakunywa, you'll keep Dr. away........!
 
Last edited by a moderator:
Pole sana my dear amu,dawa ni ndogo sana,
1..Tafuta mtu wa kumwambukiza,kesho utaamka mzima..au
2..Kunywa maji mengi,hata kama huna kiu jilazimishe..
 
Last edited by a moderator:
Ukiona hivyo amu ujue una hamu! Embu niPM!
 
Last edited by a moderator:
Pole sana my dear amu,dawa ni ndogo sana,
1..Tafuta mtu wa kumwambukiza,kesho utaamka mzima..au
2..Kunywa maji mengi,hata kama huna kiu jilazimishe..

hilo la maji ndo penye tatizo hapo
 
Last edited by a moderator:
Hayo maradhi ni laana zetu wanaJF CC Arusha kwa kuwa ulikuja hapa hutaka kutupa hi! Anyway pole sana binti amu. Dawa yake unachemsha maji nusu lita, yakiwa na vuguvugu unachanganya na kiroba cha konyagi then unakunywa, you'll keep Dr. away........!

haya sio matibabu ya kichawi kweli?!!!? khaaa.
 
Last edited by a moderator:
Jamani mwenzenu naumwa balaa na hivyo viwili yaani nimelala tu siku nzima.
Namafua makali sana na nasikia baridi balaa.

Pole sana amu
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…