Mafua mazito

Marco Exavery

Member
Joined
Aug 14, 2016
Posts
31
Reaction score
5
Habari!
Ndg mimi nimesumbuliwa na mafua sana nilikuwa na mafua makali nikatumia dawa top plus yakapungua lakini nikashangaa badaa ya siku kadhaa nikawa natoa makamasi mazito kwenye pua la kushoto tena makamasi yenye rangi ya kijani yenye harufu kali some time yamechukua muda sasa like 3 weeks .

Nitumie dawa ngani jamani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…