shangwe shangwe
Senior Member
- Oct 17, 2012
- 108
- 24
wadau tafadhali naombeni ushauri. Mwanangu anasunbuliwa sana na mafua na kukohoa kwa muda mrefu richa ya dawa mbalimbali nilizo mpatia kutoka hospitali, lakini bado hajapona huu ni mwezi wa 3. Nifanyeje?
Angalia mazingira anayoishi muepushe na kuchezea midoli hasa ile yenye manyoya.