Mafua ni ugonjwa jamani!

polee mtoto mzuri konyagi ni dawa nzuri sana kwa magonjwa madogo madogo kama hayo. Changanya na limao pamoja na asali kidogo side effect inaongeza nyegeZ hatariii.
 
𝐂𝐇𝐔𝐊𝐔𝐀 𝐊𝐈𝐓𝐔𝐍𝐆𝐔𝐔 𝐌𝐀𝐉𝐈 𝐮𝐬𝐢𝐤𝐮 𝐮𝐥𝐞 𝐦𝐝𝐚 𝐰𝐚 𝐤𝐮𝐥𝐚𝐥𝐚 𝐤𝐚𝐭𝐚 𝐧𝐮𝐬𝐮 𝐜𝐡𝐨𝐩 𝐯𝐢𝐩𝐚𝐧𝐝𝐞 𝐯𝐢𝐝𝐨𝐠𝐨 𝐭𝐚𝐟𝐮𝐧𝐚 𝐯𝐢𝐤𝐢𝐰𝐚 𝐯𝐢𝐛𝐢𝐜𝐡𝐢 𝐮𝐥𝐚𝐥𝐞 𝐀𝐬𝐮𝐛𝐮𝐡𝐢 𝐮𝐭𝐚𝐧𝐢𝐬𝐡𝐮𝐤𝐮𝐫𝐮 𝐧𝐚 𝐡𝐮𝐭𝐨𝐧𝐢𝐬𝐚𝐥𝐢𝐭𝐢 𝐦𝐤𝐞 𝐰𝐚𝐧𝐠𝐮. 𝐊𝐢𝐦𝐛𝐢𝐚 𝐜𝐡𝐚𝐩 𝐧𝐣𝐨𝐨 𝐏𝐌 𝐤𝐚𝐛𝐥𝐚 dronedrake hajaja na kupiga nyeto maana ulivyo mzuri atapiga hadi akonde.
 
Sawa ya mafua ni mapenzi huenda ni nyege tu hapo😂😂
 
Nikikaa karibu na mtu mwenye mafua tu akiongea tu yananikamata.... Sijui ni allergy!?

Hata Sasa Hivi nimesoma Thread Yako tu.....tayari!...Mafua yamesha-nikamata!!!....

Sijui kwa nini nimeisoma!

Chhhaii!!!!

Chafyaa!!! Hiyo!. ..
Sio uongo hata mimi nikiona mtu anakohoa tu au anapiga chafya ile ya mfululizo namhama haraka sana
Nikikaa zaidi lazima nipate mafua
Na hii chafya yako usiirudie
 
Pole my dear, una allergy ya mafua au
 
Dah!Kama ni hivyo sisomi tena nyuzi za MMU.Kumbe naweza hata kupata mafua na "edisi" aka ngwengwe?
 
pole dear fanya mazoezi afu tumia cetrizine then tumia tangawizi, swaumu, limau na kitunguu maji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…