Tony Cipriano
JF-Expert Member
- Nov 17, 2022
- 2,139
- 5,109
Nimefanya mara kibao wewe tumia uonehizi ni nadharia tu mkuu kwa limao tu huponi! Labda sio kikohozi cha afrika[emoji41]
morning glory🤣🤣🤣🤣Usinitishee🤒
stakiNaumwa
Ukweli huo ni Corona virus, uvute bangi Ina maliza tatizo lore. 😄😄😄😄🤣🤣🤣🤣Usinitishee🤒
Sawa ya mafua ni mapenzi huenda ni nyege tu hapo😂😂Yaan hata kupika nimeshindwa....mambo siyo mambo... Kichwa kinauma,naona Kuna dalili ya kikohozi.....wanaosema Bora uumwe mafua kuliko Nini sijui....ndugu yangu yanakuwa hayajakukamata aisee.🤧🥵
Hivi mafua Lazima huambukizwe? Au huwa yanakuja tu automatically? Simaanishi namhisi mtu,nauliza tu🙆
Sio uongo hata mimi nikiona mtu anakohoa tu au anapiga chafya ile ya mfululizo namhama haraka sanaNikikaa karibu na mtu mwenye mafua tu akiongea tu yananikamata.... Sijui ni allergy!?
Hata Sasa Hivi nimesoma Thread Yako tu.....tayari!...Mafua yamesha-nikamata!!!....
Sijui kwa nini nimeisoma!
Chhhaii!!!!
Chafyaa!!! Hiyo!. ..
Pole sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kweli hampo seriously humu[emoji855]
Pole my dear, una allergy ya mafua auYaan hata kupika nimeshindwa....mambo siyo mambo... Kichwa kinauma,naona Kuna dalili ya kikohozi.....wanaosema Bora uumwe mafua kuliko Nini sijui....ndugu yangu yanakuwa hayajakukamata aisee.🤧🥵
Hivi mafua Lazima huambukizwe? Au huwa yanakuja tu automatically? Simaanishi namhisi mtu,nauliza tu🙆
Dah!Kama ni hivyo sisomi tena nyuzi za MMU.Kumbe naweza hata kupata mafua na "edisi" aka ngwengwe?Tumia limao, kitunguu swaumu na tangawizi , changanya kunywa , kama Hali itazidi Kwa sku mbili basi huo ni ugonjwa mwingine na umekuja Kwa Dalili ya mafua , Kwa uhuni uhuni wako na kupenda nyuzi za ngono hapa jukwaani nakushauri ukienda Anza na kupima Ukimwi