Mafua ya kawaida hayahitaji dawa, kinga ya mwili inatosha kupigana nayo

Mafua ya kawaida hayahitaji dawa, kinga ya mwili inatosha kupigana nayo

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
Mafua yanasababishwa na simple virus, virus huyu ni simple kiasi cha kuweka kuuliwa na kinga ya mwili. Huambukiza kwa njia ya hewa, incubation period huchukua siku 3-7.

Hushambulia epithelial tissue zenye kuta za mucus goblets. Mucus husaidia kuchuja hewa inayoingia mwilini, ni sehemu ya immune system pia. Mafua yanatoka kwakuwa ngozi imeharibiwa. Siku ya kwanza yanawezekana kuambatana na homa, mafua yenye damu au mepesi yanatoka kama maji.

Dawa za kutimiza maumivu zinaweza kusaidia kutuliza homa, kunywa maji kurudisha maji unayopoteza kwenye mucus, kula matunda hasa yenye vitamin C kuimarisha immune system.

Baada ya siku mbili au tatu mwili unakuwa umeshashambulia simple virus.
 
Na nini kinasababisha watu ku sneeze kila wakati. Kuna dada mmoja alikuwa girlfriend waku kila wakati ana sneeze especially wakati wakula chakula utaona anakuwa ana sneeze all the time
 
Na nini kinasababisha watu ku sneeze kila wakati. Kuna dada mmoja alikuwa girlfriend waku kila wakati ana sneeze especially wakati wakula chakula utaona anakuwa ana sneeze all the time
Wengine ni allergy reaction
 
Hu
Na nini kinasababisha watu ku sneeze kila wakati. Kuna dada mmoja alikuwa girlfriend waku kila wakati ana sneeze especially wakati wakula chakula utaona anakuwa ana sneeze all the time
Huyo jike dume
 
siku 3-7 mbona nafuu mimi jamani nikipata mafua yananisumbua week 2-3 ndo narudi hali ya kawaida 😔
 
Wewe ni muongo! Hiyo kinga ya mwili itatoka wapi kwenye haya maisha ya kisasa ya stress, kutokufanya mazoezi, chakula ni nyama choma kwa bia, mboga za majani ni marufuku, ugali ni sembe, chakula pendwa ni chips kwa yai la kizungu?
 
Back
Top Bottom