Baba Collin
JF-Expert Member
- Aug 1, 2011
- 456
- 58
sio ni allergy ya kitu unayo.....?
<br />Hello wana JF!<br />
Mafua yamekua yakinisumbua mara kwa mara yaani kila baada ya kama wiki hivi ni lazima yatanipata na huwa naugua kwa zaidi ya siku tano mfululizo.nimekua nikitumia piliton na codril bila mafanikio.kuna rafiki wangu mzungu alinishauri niwe natumia juice ya machungwa kwa wingi lakini leo ni cku ya tatu mfululizo nakunywa hiyo juice bila mafanikio.wakuu naomba mawazo na msaada wenu nitumie nini maana hata sauti yangu kwa sasa nimekua kama wabana pua.
<br /><br /><br />
<br /><br />
Baba Collin! Upo mkoa gani hp Tanzania ye2?
<br />Inavyoelekea wewe unaathirika kirahisi na mafua (susceptible to common colds). Ila kwa bahati mbaya mafua hayana tiba!! Kilichopo ni dawa tu za kukupa nafuu. <br />
<br />
Kuna baadhi ya mambo unaweza kufanya yatakayosaidia kupunguza kuathirika mara kwa mara. Kwanza kabisa ongeza matumizi ya hand sanitizer. Kila ushikapo vitasa vya milango au kila ushikapo sehemu zishikwazo na watu wengi basi unajinyunyizia kidogo hiyo hand sanitizer. <br />
<br />
Hii ni kwa sababu vijidudu vya mafua huwa tunavipata kwa namna hiyo. Unashika sehemu ambayo mtu aliyekuwa navyo naye alishika. Halafu labda bila hata kujijua unajikuta unajishika na wewe sehemu za usoni na matokeo yake unapata maambukizi.<br />
<br />
Pia kila mara ushikanapo mikono na mtu kama vile katika kusalimiana, hakikisha baada ya hapo unanawa mikono yako na kujipaka hiyo hand sanitizer. Hand sanitizer huua asilimia 99.9 ya vidudu vinavyosababisha mafua na maambukizi mengine madogo madogo.<br />
<br />
Ongeza uchukuaji/ ulaji wa vyakula vyenye vitamini C na madini ya zinki kwa wingi ili kusaidia kuimarisha kinga yako ya mwili.<br />
<br />
Zaidi ya hapo pia nenda kwa daktari ukapate na ushauri wa kitaalamu zaidi.
<br />Fanya mazoezi, Kapime fungus pia, Jitahidi kunywa maji mengi. Allergy nalo ni tatizo kubwa, ni vizuri kuonana na Dr.
<br />Celestamine ndo mwisho wa mafua kidonge mia5 kimoja kwa siku tu umepona!
<br /><font color="#800080"><font size="4"><span style="font-family: comic sans ms">sio ni allergy ya kitu unayo.....?</span></font></font>
<br />huwa natumia sinutab, ila nina mwaka sasa sijapata mafua wala kikohozi, I Thanks God for that
<br />
<br />
nashukuru kwa ushauri wako mkuu.je hii hand sanitizer ni nini na wapi naweza kuipata?
<br />
<br />
inawezekana ikawa ni dawa nzuri?