Ndugu, habari?
Mimi ni kijana (22), tangu nimekua na akili na uwezo wa kujitambua nimekua nikisumbuliwa sana na mafua, yaani sijawahi kustay free from mafua. Je hili ni tatizo gan? Na linaweza likawa linasababishwa na nin? Ushauri wenu ni wa muhimu sana
N.B. hosp. Nimeshakwenda sana lakini bado sijapatiwa suluhisho
Mimi ni kijana (22), tangu nimekua na akili na uwezo wa kujitambua nimekua nikisumbuliwa sana na mafua, yaani sijawahi kustay free from mafua. Je hili ni tatizo gan? Na linaweza likawa linasababishwa na nin? Ushauri wenu ni wa muhimu sana
N.B. hosp. Nimeshakwenda sana lakini bado sijapatiwa suluhisho