Mafua yasiyosikia dawa

Mathika

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2017
Posts
279
Reaction score
319
Mimi kila ninapoamka napata mafua tena ya chafya kali ila ikifika mchana jua kali napona kabisa. Ila na wkt wa baridi pua zinaziba pia natumia dawa za hospital napona ila baada ya siku mbili yanarudi tena.
Naomba ushauri wenu wanajamii forum nitumie vitu gani vya asili ili nitoke kwy shida hii maana dawa za hospital siponi.
 
Ngoma hiyo mkuu. Anza dawa kabisa..
 
Tumia tiba ya vitunguu swaumu unavisaga unapaka kwenye nyayo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…