Mimi nikiamka jua likitoka nakua mzima had jion giza likiingia naanza kuumwa mafua usiku mzima kias hadi natumia mdomo kupata pumzi.
Hii Hali Ina mwaka huu wa 3
Mchana mzima kabisa,
Pia naomba kuuliza je feni inaweza sababisha niumwe?
Maana nalala na feni kila siku