Mafundi acheni janja-janja

Mafundi acheni janja-janja

Jumlisha

JF-Expert Member
Joined
Jul 10, 2022
Posts
1,239
Reaction score
2,765
Habarini wanaJF, binafsi sio mwandishi mzuri ila kwa hili lililonikuta na huyu fundi selemala nimeona bora niandike niombe ushauri.

Iko hivi miezi miwili nyuma mwezi September nilikuwa na mpango wa kutengeneza kabati la nguo la mbao haya ya kisasa, nikatafuta fundi nikamuonesha design nilikuwa nime-download kutoka Pinterest basi tukakubaliana bei alinambia jumla itakuwa laki tatu sikubisha.

Akasema nimpe kwanza advance laki na nusu ili aanze kazi nikampa, tulikubaliana wiki mbili itakuwa tayari lakini cha ajabu baada ya wiki kuisha akawa ananipigia simu kuomba hela mara aniambie hii ya rangi hii ya body mambo kibao nakuja kupiga hesabu nishampa kama laki tatu na elfu sabini na mpaka muda huu sijapata kabati langu

Nafikiria kujichukulia sheria mkononi nivamie ofisi yake.
 
kabati la laki 3 unaenda kuchukua design pin interest, wakati kuna makabati yameshatengenezwa tena super Brand, still ungeweza kutumia apps za online marketing kama jiji, instagram ukatafuta design hiyo au uka order wakutengenezee uwe unaenda kukagua. Afadhali kama ungetaka indoor design ujengewe ndani ya nyumba hapo sawa. Next time muwe mnaomba ushauri hata uliza watu, sio yakishakukuta ndo unakuja huku na kushindwa kwako kutumia akili tu za kawaida.
 
kabati la laki 3 unaenda kuchukua design pin interest, wakati kuna makabati yameshatengenezwa tena super Brand, still ungeweza kutumia apps za online marketing kama jiji, instagram ukatafuta design hiyo au uka order wakutengenezee uwe unaenda kukagua. Afadhali kama ungetaka indoor design ujengewe ndani ya nyumba hapo sawa. Next time muwe mnaomba ushauri hata uliza watu, sio yakishakukuta ndo unakuja huku na kushindwa kwako kutumia akili tu za kawaida.
Kwani mafundi selemala wapo kwa jiri ya kazi gani zingatia hapo nimesema design ningetaka kununua ningeenda maduka ya furniture nichukue kabati lolote nalo litaka, lkn Asante kwa ushauri
 
Mafundi ni wa ovyo walio wengi mkuu!Mimi kuna fundi Tena ndugu yangu na nilimleta Dodoma! Cha ajabu ndo kanila kichwa kwa kunilia hela za kutengeneza vinu vya kusaga na kukoboa m1.5Nilimpeleka pollisi mwisho wa siku nimepotezea.
 
Maf

Mafundi ni wa ovyo walio wengi mkuu!Mimi kuna fundi Tena ndugu yangu na nilimleta Dodoma!Cha ajabu ndo kanila kichwa kwa kunilia hela za kutengeneza vinu vya kusaga na kukoboa m1.5Nilimpeleka pollisi mwisho wa siku nimepotezea.
Dah aisee pole sana
 
Mafundi wengi hasa seremala ni wahitimu wa PhD za uongo. Ukimkamata piga kofi hata 2 ili next time asirudie utapeli wake kwa watu wengine. Na endapo ana penda pesa za bure mkaribishe Mombasa aje apakuliwe.
 
kabati la laki 3 unaenda kuchukua design pin interest, wakati kuna makabati yameshatengenezwa tena super Brand, still ungeweza kutumia apps za online marketing kama jiji, instagram ukatafuta design hiyo au uka order wakutengenezee uwe unaenda kukagua. Afadhali kama ungetaka indoor design ujengewe ndani ya nyumba hapo sawa. Next time muwe mnaomba ushauri hata uliza watu, sio yakishakukuta ndo unakuja huku na kushindwa kwako kutumia akili tu za kawaida.
Atakuwa fundi Maiko huyo maana Jumamosi na Jumapili alishinda pale mitimirefu panapouzwa kitimoto.
 
kabati la laki 3 unaenda kuchukua design pin interest, wakati kuna makabati yameshatengenezwa tena super Brand, still ungeweza kutumia apps za online marketing kama jiji, instagram ukatafuta design hiyo au uka order wakutengenezee uwe unaenda kukagua. Afadhali kama ungetaka indoor design ujengewe ndani ya nyumba hapo sawa. Next time muwe mnaomba ushauri hata uliza watu, sio yakishakukuta ndo unakuja huku na kushindwa kwako kutumia akili tu za kawaida.

Utofauti ni nini yake na uliyoandika!!!?
 
Habarini wanaJF, binafsi sio mwandishi mzuri ila kwa hili lililonikuta na huyu fundi selemala nimeona bora niandike niombe ushauri.

Iko hivi miezi miwili nyuma mwezi September nilikuwa na mpango wa kutengeneza kabati la nguo la mbao haya ya kisasa, nikatafuta fundi nikamuonesha design nilikuwa nime-download kutoka Pinterest basi tukakubaliana bei alinambia jumla itakuwa laki tatu sikubisha.

Akasema nimpe kwanza advance laki na nusu ili aanze kazi nikampa, tulikubaliana wiki mbili itakuwa tayari lakini cha ajabu baada ya wiki kuisha akawa ananipigia simu kuomba hela mara aniambie hii ya rangi hii ya body mambo kibao nakuja kupiga hesabu nishampa kama laki tatu na elfu sabini na mpaka muda huu sijapata kabati langu

Nafikiria kujichukulia sheria mkononi nivamie ofisi yake.
Utakuwa na wahuni wangapi ?
 
Habarini wanaJF, binafsi sio mwandishi mzuri ila kwa hili lililonikuta na huyu fundi selemala nimeona bora niandike niombe ushauri.

Iko hivi miezi miwili nyuma mwezi September nilikuwa na mpango wa kutengeneza kabati la nguo la mbao haya ya kisasa, nikatafuta fundi nikamuonesha design nilikuwa nime-download kutoka Pinterest basi tukakubaliana bei alinambia jumla itakuwa laki tatu sikubisha.

Akasema nimpe kwanza advance laki na nusu ili aanze kazi nikampa, tulikubaliana wiki mbili itakuwa tayari lakini cha ajabu baada ya wiki kuisha akawa ananipigia simu kuomba hela mara aniambie hii ya rangi hii ya body mambo kibao nakuja kupiga hesabu nishampa kama laki tatu na elfu sabini na mpaka muda huu sijapata kabati langu

Nafikiria kujichukulia sheria mkononi nivamie ofisi yake.
Mafundi wengi wezi...Mimi nimempa advance ili anichongee milango ila naona sasa ni utata mtupu...niliona anazidi kudai hela tu.. mara grinder mbovu mara sijui nini...nikamwambia inamaana unategeamea pesa yangu pekee kuendesha ofisi yako!? Hakuna kazi za wengine hapo....yaani mpaka sasa hivi nahisi nimeibiwa tu...kibaya zaidi niliunganishwa na mtu mzima ninae heshimiana nae...sasa sijui nitaishia wapii
 
Mafundi wengi wezi...Mimi nimempa advance ili anichongee milango ila naona sasa ni utata mtupu...niliona anazidi kudai hela tu.. mara grinder mbovu mara sijui nini...nikamwambia inamaana unategeamea pesa yangu pekee kuendesha ofisi yako!? Hakuna kazi za wengine hapo....yaani mpaka sasa hivi nahisi nimeibiwa tu...kibaya zaidi niliunganishwa na mtu mzima ninae heshimiana nae...sasa sijui nitaishia wapii
Aisee mafundi ni tatizo wameamua kuendesha biashara yao bila mtaji na haya ndo mazara bora kwenda maduka ya furniture tu
 
Pole sana mkuu.
Mimi kuna mmoja nlimpelekea vyuma anitengenezee, akakimbia.
Mungu si rashidi siku moja kwenye pita pita zangu nkakutana nae. Nkamkwida nkamwambia nampeleka central sitaki stori.
Akajaribu kuleta ujuaji mwingi nkambana nkaenda kwake nkachukua sabufa nkaenda kupamba ghetto langu.
 
Bora ukiwa na Hela yako ununue kitu kilicho tayari kuliko kusumbuana na Mafundi, pole kwa yote.
 
Habarini wanaJF, binafsi sio mwandishi mzuri ila kwa hili lililonikuta na huyu fundi selemala nimeona bora niandike niombe ushauri.

Iko hivi miezi miwili nyuma mwezi September nilikuwa na mpango wa kutengeneza kabati la nguo la mbao haya ya kisasa, nikatafuta fundi nikamuonesha design nilikuwa nime-download kutoka Pinterest basi tukakubaliana bei alinambia jumla itakuwa laki tatu sikubisha.

Akasema nimpe kwanza advance laki na nusu ili aanze kazi nikampa, tulikubaliana wiki mbili itakuwa tayari lakini cha ajabu baada ya wiki kuisha akawa ananipigia simu kuomba hela mara aniambie hii ya rangi hii ya body mambo kibao nakuja kupiga hesabu nishampa kama laki tatu na elfu sabini na mpaka muda huu sijapata kabati langu

Nafikiria kujichukulia sheria mkononi nivamie ofisi yake.
Kamata mali yake yenye dhamani zaido. Sema ulipaswa kununua tu maana mafundi wengi njaa sana
 
Back
Top Bottom