Nyanda Banka
JF-Expert Member
- Mar 14, 2023
- 304
- 1,054
Juzi kati kwenye posts zangu za nyuma niliezea ni namna gani mafundi wanatuibia tunapoamua kujenga nikawa na hofu japo nilipokewa comments mbalimbali kama sio wote
Ila jana kwenye sehemu fulani ya ujenzi naona mafundi wanaiba nondo na mifuko ya cements pamoja na waya za umeme
Kwanini mnatufanyia hivyo wazee sisi wenyewe tunajenga kwa kuunga unga tu ila bado mnatupiga kweli mmeniangusha mafundi
Ila jana kwenye sehemu fulani ya ujenzi naona mafundi wanaiba nondo na mifuko ya cements pamoja na waya za umeme
Kwanini mnatufanyia hivyo wazee sisi wenyewe tunajenga kwa kuunga unga tu ila bado mnatupiga kweli mmeniangusha mafundi