Mafundi nisaidieni materials za huu mchoro kwenye ramani hii

Mafundi nisaidieni materials za huu mchoro kwenye ramani hii

Lupe Tz

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2021
Posts
259
Reaction score
910
Mafundi nisaidieni materials za haka kamchoro karamani hapa.
I mean BATI ngapi?
Idadiii ya TofaLi
Cement.
Mawe
Nondo.

JamiiForums1035549394.jpg
JamiiForums1035549394.jpg


JamiiForums1035549394.jpg
 
Hapo inategemea na msingi.. ila kwa standard ya msingi bora + urefu wa nyumba + ngazi mbele na nyuma na shimo la maji taka n.k hapo ni

Bati 80 inategemea na uezekaj ila hazizid 100
Tofari 3000
Mbao andaa 4 by 2 120
2 by 2 90
8 by 1. 10

Cemnet ful mkanda juu na chini mpaka mjengo unaishia kwa maana ya kupanga tofari ni mifuko 40.

Nondo 30.

Makoro koro mengine ni kama 2M tu
(Mchanga, kokoto, kukodi vitu, mbao za rental, mesh wire sijuh nin mazaga kibao hapo)
 
Back
Top Bottom