Mafundi uchomeleaji magate mkuje

Mafundi uchomeleaji magate mkuje

Morning_star

JF-Expert Member
Joined
Apr 21, 2018
Posts
6,042
Reaction score
17,320
Nimeongea na fundi uchomeleaji ambapo tumekubaliana material yoote nitanunua na umeme juu yangu kwani kazi itafanyikia nyumbani kwangu. Anitengenezee mlango wa Gate la frame ya biashara lenye mlango wa kujikuja la upana wa mita 2.5 (foot 7.5). Sasa kanikomalia bei ya ufundi laki 2 (200,000) tumeshindwana? Kama kuna fundi welding maeneo ya mbezi ya kimara anaweza kufanyakazi hii chini ya laki mbili njoo pm na bei yako
 
mkuu gharama ya vifaa vyako vyote unavotaka kununua ni tsh ngap kwa hesabu ulopewa na fundi wako
 
Mlango unajikunja mara ngapi? Mlango ni mmoja tu unaojikunja? Una marembo mengi? Ukijibu hayo unaweza kujua sababu ya kukupa hiyo bei,kama reasonable au kuna uhuni
 
Back
Top Bottom