realnumber
Member
- Dec 30, 2019
- 12
- 5
Mi nakumbuka nilipanda darini kufuatilia shoti ile na fungua ule mfuniko kwenye ciling board tuu pembeni nikakuta nyoka na mtu kama taahira fulani mle darini mi nikashuka nikaenda kununua maji uongo nduki na beg na ngazi niliacha mle ndani
[Ungewambia wakupishe Mkuu hao jamaa ndio wanaomuweka boss mjini
Habari,
Kama title inavyojieleza,
Je? Nichangamoto zipi unakutana nazo katika harakati zako za ufundi.
Mimi nakumbuka nilikuwa nafanya kazi shirika moja kabla ya kuacha nilikuwa nalipwa 2k kwa mwezi.