Mafundi umeme wa magari someni hapa jamani

Mafundi umeme wa magari someni hapa jamani

Tanki

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2013
Posts
538
Reaction score
246
Nina Altonator ya gari. Kwenye hii Altonator Kuna haya maandishi. NISANI 23100 70N 12 V.

Sasa, Nikaichukua Altonator Kisha nikafunga waya kutoka Kwenye bolt na Kisha nikafunga waya kutoka Kwenye body ya Altonator. Kisha ule waya wa bolt nikafunga Kwenye terminal ya chanya ya betri. Then ule wa body nikaufunga Kwenye terminal ya hasi. ( Ila hii betri ni betri ya pikipiki.

Then nikafunga mota Kisha nikaiunga na Altonator. So, hii mota inazunguka na kwa vile nimeiunga na Altonator hivyo mota ikizunguka inazungusha Altonator. So, nilidhani kwa kufanya hivi hii Altonator ingekuwa inaichaji hii betri. Ila HAIFANYI HIVYO. Je shida ninini?. Au nakosea wapi?.

Plan yangu ni kwamba, nataka betri iwe inachajiwa na Altonator then nifunge inverter Kisha niutumie huu umeme.

Nakosea wapi?, Au je kipi nifanye?, Au nakosea kuunganisha?. Msaada wakuu
 
Inawezekana uko sawa ila otenetor yako bkush zinaweza kuwa zimeisha

sent from HUAWEI
 
Inawezekana uko sawa ila otenetor yako bkush zinaweza kuwa zimeisha

sent from HUAWEI
Mkuu, Altonator ni nzima. Imejaribiwa kabisa kule nilipoinunua. Ilifungwa Kwenye betri arafu Kuna taa ikafungwa ikawa inawaka. Jamaa akaizungusha Altonator kwa mkono Ile taa ikawa inazima. Ikiwa hivyo wenyewe wanasema Altonator ni nzima
 
Unakosea namna ya kuunganisha waya km ni hivyo

sent from HUAWEI
 
Pole Mkuu.
Nasikitika kukujulisha kuwa zoezi lako halitafanikiwa kama unataka umeme wa battery uzungushe motor, ambayo itazungusha alternator, ambayo itachaji battery inayozungusha motor.

Je unazijua technical specifications za hivyo vitu vitatu? Yaani battery, motor na alternator?
Mfano, angalia RPM za alternator kwenye label yake.
 
Nina Altonator ya gari. Kwenye hii Altonator Kuna haya maandishi. NISANI 23100 70N 12 V.

Sasa, Nikaichukua Altonator Kisha nikafunga waya kutoka Kwenye bolt na Kisha nikafunga waya kutoka Kwenye body ya Altonator. Kisha ule waya wa bolt nikafunga Kwenye terminal ya chanya ya betri. Then ule wa body nikaufunga Kwenye terminal ya hasi. ( Ila hii betri ni betri ya pikipiki.

Then nikafunga mota Kisha nikaiunga na Altonator. So, hii mota inazunguka na kwa vile nimeiunga na Altonator hivyo mota ikizunguka inazungusha Altonator. So, nilidhani kwa kufanya hivi hii Altonator ingekuwa inaichaji hii betri. Ila HAIFANYI HIVYO. Je shida ninini?. Au nakosea wapi?.

Plan yangu ni kwamba, nataka betri iwe inachajiwa na Altonator then nifunge inverter Kisha niutumie huu umeme.

Nakosea wapi?, Au je kipi nifanye?, Au nakosea kuunganisha?. Msaada wakuu
Kama ni fundi wa hv vitu, nenda kwa kupima volts kama ukizungusha kwa mkono unapata volts ngap ndio uje kwenye mota mzunguko rpm
 
Leta mchoro wako tuone connection
Kisha kisha angalia voltage na current znazotok kwamaan kweny generator yeyot angalia rpm inahusiano vltage
 
Hiyo hata akifanyaje haiwezi kufanikiwa anachotaka. Asome kanuni za umeme, ataujua ukweli.
 
Back
Top Bottom