mirindimo
JF-Expert Member
- Nov 2, 2009
- 901
- 1,742
Kumekua na tatizo la maji kwa zaidi ya wiki sasa maeneo ya Kimara Temboni kwa Msuguri.
Taarifa zilizopo ni kuwa kumekuwa na tabia chafu ya watumishi wa DAWASA kuchepusha maji kwa nia ya kufanya biashara na kujiingizia kipato.
Shida ya maji imejitokeza tena kipindi hiki ambapo eneo kubwa la Temboni mpaka Saranga na baadhi ya eneo la kwa Msuguli.
Kwa sasa mambo yako bora liende kutokana na mamlaka kutofuatilia huduma hizi za kijamii na kujali bill za mwisho wa mwezi hata kama huduma haipatikani.
Taarifa zilizopo ni kuwa kumekuwa na tabia chafu ya watumishi wa DAWASA kuchepusha maji kwa nia ya kufanya biashara na kujiingizia kipato.
Shida ya maji imejitokeza tena kipindi hiki ambapo eneo kubwa la Temboni mpaka Saranga na baadhi ya eneo la kwa Msuguli.
Kwa sasa mambo yako bora liende kutokana na mamlaka kutofuatilia huduma hizi za kijamii na kujali bill za mwisho wa mwezi hata kama huduma haipatikani.