ZINGATIA
*Uwe smart katika kazi
*Unaezingatia vipimo katika kukata na kuunda sababu vifaa tuvyounda hata mm 1 ikikosewa inaweza kipelekea hasara kubwa.
ZINGATIA
*Uwe smart katika kazi
*Unaezingatia vipimo katika kukata na kuunda sababu vifaa tuvyounda hata mm 1 ikikosewa inaweza kipelekea hasara kubwa.
Elfu 25 kwa siku halafu mnataka ma expert...maexpert wengi wa hizi kazi wamejiajiri wanaingiza hela nyingi kuliko hiyo, ukimpata ujue anashida mambo yakikaa vizuri wanakukimbia..
Watakuja na mtawapata tu, ijapokuwa Kwa mtu expert wa viwango hiyo ni pesa ndogo mnoooo, hivyo basi akija kijana muangalieni kama anaweza kazi mpeni, experts wa level za juu wengi wana ofisi zao.