Mafundi wa kutohoa.....

Mafundi wa kutohoa.....

MZEIyYA

New Member
Joined
Feb 21, 2012
Posts
1
Reaction score
0
Mafundi wakutohoa, si wa sindano kutona,
nguo ukizitonoa, kusema atazishona,
na zile lozichojoa, kiraka atakiona,
Tegua

Siache lozipasua, kidhani hazitapona,
hata ulozitatua, na nyuzi zikaachana,
Timilifu zitakua, kwake ukzikusanya.

Haya toeni maana ya hiyo misamiati....
kutonoa, kutatua, kuchana, kupasua kuchojoa......... kama itumikavyo ktk nguo
 
Back
Top Bottom