Mafundi wa magari ya kisasa na kuprogram.

Baraka sheni

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2015
Posts
471
Reaction score
197
Kutana mafundi wa gari ya kisasa. Magari tunayo shugulika nayo ni Mercedes-Benz,
BMW, Ford,Volkswagen.

Na gari nyingine zote zinazotokea Europe kama unatatizo sehemu yoyote kwenye gari yako karibu utuone.

Pia tuna shugulika na kuprogram funguo aina zote na kutoa lock na control engine kama unahitaji kuprogram hakikisha unatuona.

Karibu kama una swali lolote unaruhusiwa kuuliza.
TUNAPATIKANA MWENGE KARIBU NA OFISI ZA TRA au piga namba 0657623266
 
Natafuta control box ya ford ranger pick up ya 2011. Ikiwa mbovu fresh kuna spare nahitaji sanaaaa.vipi nitapata ford yenyewe ni kama zile za cocacola
 
Reactions: MC7
Natafuta control box ya ford ranger pick up ya 2011. Ikiwa mbovu fresh kuna spare nahitaji sanaaaa.vipi nitapata ford yenyewe ni kama zile za cocacola
hapana mkuu hiyo sina
 
Kuprogram funguo inakuaje

Sent from my TECNO-Y6 using JamiiForums mobile app
Kuna baadhi ya magari ambazo funguo zake zina sensor ndani. Hivyo ili kuwasha gari lazima hiyo funguo iwe sawa na switch na iwapo utachonga funguo mtaani utaweza kufungulia milango kwa baadhi ya magari ila siyo kuwashia gari. Magari mengi yaliyotengenezwa ulaya yanatumia hizo funguo kuepusha wizi
 
Reactions: MC7
Je hakuna njia ya kuprogram tv channel ziwezekushika kwenye gari hapa Tanzania?
 
Reactions: MC7
Sidhani kama kuna redio za gari zenye receiver moja kwa moja. Ila kwa kipindi cha nyuma zilikamata stesheni
Baada ya kuingia kwenye digital hadi simu za mchina zilikata
Je hakuna njia ya kuprogram tv channel ziwezekushika kwenye gari hapa Tanzania?
 
Reactions: MC7
finyango tuma hapa chasis namba ya hiyo BMW niangalie nakutumia bei yake hapa hapa..ila radiator tuu hiyo full sijaelewa unamaanisha nini..
 
Finyango Viscas fan+radiator+cowling wengine wanasema complete au radiator+hose radiator ya upper na lower au unahitaji na facelift radiator..orodhesha unavyovihitaji..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…