Mafundi wa simu upande wa Software mnahitajika hapa

Mafundi wa simu upande wa Software mnahitajika hapa

tzbee

Member
Joined
Jul 8, 2019
Posts
64
Reaction score
24
Nahitaji fundi anaeweza kufanya Password Unlock ya Oppo A31 2020 CPH2015, simu ni mpya haina google account. Kama yupo fundi anaepatikana Dar itakuwa poa zaidi
 
Nahitaji fundi anaeweza kufanya Password Unlock ya Oppo A31 2020 CPH2015, simu ni mpya haina google account. Kama yupo fundi anaepatikana Dar itakua poa zaidi
unapatikana wapi? una laptop/desktop tuongee biashara
 
Acha uvivu ingia you tube ukatatue tatizo lako
Amini kwamba wewe si wa kwanza kuitumia hiyo simu na kukutana na tatizo kama hilo
 
Acha uvivu ingia you tube ukatatue tatizo lako
Amini kwamba wewe si wa kwanza kuitumia hiyo simu na kukutana na tatizo kama hilo
Nishazunguuka sana Youtube boss, lakini tools wanazotumia zote kama MRT, Miracle thunder ni latest ambazo nime google saaaana lakini sijapata crack zake
 
Hakuna fundi wa Dar anaeweza kufanya kazi hii jamani?
 
Back
Top Bottom