MTAZAMO
JF-Expert Member
- Feb 8, 2011
- 19,675
- 33,583
Wakuu,
Timu yetu msimu huu kuna kila dalili tumekuwa serious zaidi kwenye usajili. Lakini angalizo muhimu ambalo limekuwa donda sugu ni kocha kupata wachezaji kwa mafungu na kumfanya ashindwe kuendesha program kikamilifu.
Uongozi wa Simba wajitahidi msimu huu kuhakikisha full package ya wachezaji wanawahi program ya mwalimu ili tusilaumiane.
Tumewasifu kwenye usajili mjitahidi wachezaji waungane haraka na kupunguza mafungu yanayompa tabu kocha.
Otherwise tunakwenda vizuri [emoji1666]
Timu yetu msimu huu kuna kila dalili tumekuwa serious zaidi kwenye usajili. Lakini angalizo muhimu ambalo limekuwa donda sugu ni kocha kupata wachezaji kwa mafungu na kumfanya ashindwe kuendesha program kikamilifu.
Uongozi wa Simba wajitahidi msimu huu kuhakikisha full package ya wachezaji wanawahi program ya mwalimu ili tusilaumiane.
Tumewasifu kwenye usajili mjitahidi wachezaji waungane haraka na kupunguza mafungu yanayompa tabu kocha.
Otherwise tunakwenda vizuri [emoji1666]