Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amen mumie, amen! 😅Hallelujah🧚♀️🧚♀️🧚♀️
Mbona umeguna mkuu..ndo hali halisi kabisaMh! muda si mrefu itaitwa uzi chonganishi.
Ina chembechembe za uchochezi.
Ila tukiwa wakweli pesa ya mke inakutoa konfidensi.
[emoji482][emoji817][emoji108]
Uwiiiiiiiiih jamaniiiiih hata soda yeyote sinywi.Inaelekea unapenda bia wewe[emoji28][emoji28][emoji1635][emoji1635]
Mbona umeguna mkuu..ndo hali halisi kabisa
Lakin kama mlipendana kwa dhati na mke wako na kuchukuliana haiwezi kukutolea konfidensi mkuu.
Ninamtu namfahamu walikuwa wakipendana na mkewe ikafika wakati yule bwana akakose kazi mwanamke alisimamia familia kwa muda wa miaka miwili mpka mwanaume akasimama tena.sio kazi rahisi lkni wanawake wa namna hiyo wapo wenye mwenye moyo wa kushukuru na kukumbuka wapi alipotolewa
Weee acha tyuuh, nakunywa maji, chai ya rangi, na uji. Vingnevyo vyoteeeeeh mie sijabarikiwa.He wewe...sasa unaishije[emoji28]
Serious yaaan huwez amini dea, kuna siku nlijaribu coca kunywa yaan fundo mbili tyuuh nlitapika miee had baaas, tena ilkuwa graduus ya 4m 6, ndo nkajipa nickname cocasticKwahiyo ndo umeamua kunifunga kwa style hii ee..[emoji12][emoji12]haya bhana