Mafunzo kuhusu pesa za familia

Chakorii

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
18,773
Reaction score
51,429
Your browser is not able to display this video.

Your browser is not able to display this video.
 
Kwenye hili la majukumu hapa hata wale feminist wanakuwa wapole.

Btw, kwa mwanaume aliyekamilika hili lipo wazi kabisa, baba ni kichwa cha familia.



Let's meet at the top, cheers 🥂
 
Ndio hivyo....

🧚‍♀️🧚‍♀️🧚‍♀️ Nashukuru mkuu kwa kukubali..kuna ile timu kutaka kushinda na mwanamke sijui ikwapa😅😅
 
Kwenye hili la majukumu hapa hata wale feminist wanakuwa wapole.

Btw, kwa mwanaume aliyekamilika hili lipo wazi kabisa, baba ni kichwa cha familia.



Let's meet at the top, cheers 🥂

Hallelujah🧚‍♀️🧚‍♀️🧚‍♀️
 
Mh! muda si mrefu itaitwa uzi chonganishi.
Ina chembechembe za uchochezi.

Ila tukiwa wakweli pesa ya mke inakutoa konfidensi.
 
Mh! muda si mrefu itaitwa uzi chonganishi.
Ina chembechembe za uchochezi.

Ila tukiwa wakweli pesa ya mke inakutoa konfidensi.
Mbona umeguna mkuu..ndo hali halisi kabisa

Lakin kama mlipendana kwa dhati na mke wako na kuchukuliana haiwezi kukutolea konfidensi mkuu.

Ninamtu namfahamu walikuwa wakipendana na mkewe ikafika wakati yule bwana akakose kazi mwanamke alisimamia familia kwa muda wa miaka miwili mpka mwanaume akasimama tena.sio kazi rahisi lkni wanawake wa namna hiyo wapo wenye mwenye moyo wa kushukuru na kukumbuka wapi alipotolewa
 

Wewe unao huo moyo boss wangu?
 
Weee acha tyuuh, nakunywa maji, chai ya rangi, na uji. Vingnevyo vyoteeeeeh mie sijabarikiwa.
Kwahiyo ndo umeamua kunifunga kwa style hii ee..😜😜haya bhana
 
Kwahiyo ndo umeamua kunifunga kwa style hii ee..[emoji12][emoji12]haya bhana
Serious yaaan huwez amini dea, kuna siku nlijaribu coca kunywa yaan fundo mbili tyuuh nlitapika miee had baaas, tena ilkuwa graduus ya 4m 6, ndo nkajipa nickname cocastic
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…