mapambanodaima
Senior Member
- Oct 22, 2012
- 108
- 15
Kwa kile kinachoonekana mwendelezo wa ubabaishaji katika sekta nyeti ya elimu walimu wanachuo wa cheti na stashahada ya elimu hajaenda kwenye mafunzo kwa vitendo na haieleweki nn kinachoendelea wakati muda wao wa mafunzo unaisha maana tarehe 5 mwezi wa 5 wanaanza mitihani ya kuhitimu mafunzo yao.
BRN hoyeeeeeeeee
BRN hoyeeeeeeeee