mapambanodaima
Senior Member
- Oct 22, 2012
- 108
- 15
HAKUNA.....boom ni kwa degree, elewa maana ya HESLBJamani samahani kwa kudandia uzi nina ndugu yangu ameomba vyuo vya ualimu ngazi ya diploma masomo ya sayansi je vyuo vya ualimu kuna boom? Na ningependa kujua na kiasi kwa anaefaham.
sijui wanaosimamia sector hii wanaipeleka wapi elimu yetu. ufisadi wa pesa ndio umefanya wasiende vitendo kwa mafuzo, escro imefilisi.Kwa kile kinachoonekana mwendelezo wa ubabaishaji katika sekta nyeti ya elimu walimu wanachuo wa cheti na stashahada ya elimu hajaenda kwenye mafunzo kwa vitendo na haieleweki nn kinachoendelea wakati muda wao wa mafunzo unaisha maana tarehe 5 mwezi wa 5 wanaanza mitihani ya kuhitimu mafunzo yao.
BRN hoyeeeeeeeee
HAKUNA.....boom ni kwa degree, elewa maana ya HESLB
Jamani samahani kwa kudandia uzi nina ndugu yangu ameomba vyuo vya ualimu ngazi ya diploma masomo ya sayansi je vyuo vya ualimu kuna boom? Na ningependa kujua na kiasi kwa anaefaham.
HAKUNA.....boom ni kwa degree, elewa maana ya HESLB
yapu boom lipo. wameanza kutoa kuanzia mwaka ulipita. kama kafaulu vizuri subiri application zitakapotangazwa
kwa kile kinachoonekana mwendelezo wa ubabaishaji katika sekta nyeti ya elimu walimu wanachuo wa cheti na stashahada ya elimu hajaenda kwenye mafunzo kwa vitendo na haieleweki nn kinachoendelea wakati muda wao wa mafunzo unaisha maana tarehe 5 mwezi wa 5 wanaanza mitihani ya kuhitimu mafunzo yao.
Brn hoyeeeeeeeee
Jamani samahani kwa kudandia uzi nina ndugu yangu ameomba vyuo vya ualimu ngazi ya diploma masomo ya sayansi je vyuo vya ualimu kuna boom? Na ningependa kujua na kiasi kwa anaefaham.