boom lipo nacte nao wanaanza kumwaga boom, mdau Ka crame hslb tu! Teh theHAKUNA.....boom ni kwa degree, elewa maana ya HESLB
Jamani samahani kwa kudandia uzi nina ndugu yangu ameomba vyuo vya ualimu ngazi ya diploma masomo ya sayansi je vyuo vya ualimu kuna boom? Na ningependa kujua na kiasi kwa anaefaham.
Hapa kinachoonekana ni msigano wa wazi kati ya viongozi wa wizara ya elimu na viongozi wa baraza la ufundi Nacte. Leo hii vyuo vimefungwa ghafla kuwa hakuna chakula je bado matumaini ya BTP yapo? Mbaya zaidi viongozi wenye dhamana wapo kimya hawasemi chochote si wizara wala nacte. Wakuu wa vyuo wanafanya maamuzi ya kufunga vyuo sababu kubwa wanayotoa ni chakula hakuna. Butimba Bunda Bustani wameshafunga na vingine vinafuatasijui wanaosimamia sector hii wanaipeleka wapi elimu yetu. ufisadi wa pesa ndio umefanya wasiende vitendo kwa mafuzo, escro imefilisi.
HAKUNA.....boom ni kwa degree, elewa maana ya HESLB