Mafunzo, mafundisho na maelekezo ya dini sio sawa na elimu ya dini

Mafunzo, mafundisho na maelekezo ya dini sio sawa na elimu ya dini

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Mara nyingi sana waswahili huwa wanazungumzia mtu kupata elimu ya dini lakini kiuhalisia huwa wanamaanisha ni mafunzo/maelekezo ya dini ya mtu husika.

Elimu ya dini au kwa Kingereza "religious education/studies" ni ile elimu ya darasani mtu anayosemea kuhusu dini husika au dini mbalimbali akiwa na mawazo huru, akifanya uchambuzi wa vitabu na kupitia vyanzo mbalimbali vya dini yenyewe/zenyewe na vyanzo vingine huru.

Katika Religious education/studies Mkristo anaweza kusoma kuhusu ukristo, uislamu, uhindu, ubudha, dini za kale zilizopotea n.k Muislamu pia hivyo hivyo anaweza kusoma kuhusu Uislamu, Ukristo, uhindu na dini nyingine.

Kwa upande mwingine kama mtu yuko katika kujifunza/kuelewa dini yako kwa kutumia kitabu/vitabu na vyanzo vingine vya dini yake tu kwa minajali ya kueilewa , kuwa na imani zaidi na kuishi imani na maadili ya dini husika hiyo sio elimu ya dini tena bali ni mafunzo/maelekezo ya dini.
 
Mara nyingi sana waswahili huwa wanazungumzia mtu kupata elimu ya dini lakini kiuhalisia huwa wanamaanisha ni mafunzo/maelekezo ya dini ya mtu husika.

Elimu ya dini au kwa Kingereza "religious education/studies" ni ile elimu ya darasani mtu anayosemea kuhusu dini husika au dini mbalimbali akiwa na mawazo huru, akifanya uchambuzi wa vitabu na kupitia vyanzo mbalimbali vya dini yenyewe/zenyewe na vyanzo vingine huru.

Katika Religious education/studies Mkristo anaweza kusoma kuhusu ukristo, uislamu, uhindu, ubudha, dini za kale zilizopotea n.k Muislamu pia hivyo hivyo anaweza kusoma kuhusu Uislamu, Ukristo, uhindu na dini nyingine.

Kwa upande mwingine kama mtu yuko katika kujifunza/kuelewa dini yako kwa kutumia kitabu/vitabu na vyanzo vingine vya dini yake tu kwa minajali ya kueilewa , kuwa na imani zaidi na kuishi imani na maadili ya dini husika hiyo sio elimu ya dini tena bali ni mafunzo/maelekezo ya dini.
ili kuelewa vizuri dini yako, yakupasa pia kuzijua dini zingine kwa undani pia
 
Mara nyingi sana waswahili huwa wanazungumzia mtu kupata elimu ya dini lakini kiuhalisia huwa wanamaanisha ni mafunzo/maelekezo ya dini ya mtu husika.

Elimu ya dini au kwa Kingereza "religious education/studies" ni ile elimu ya darasani mtu anayosemea kuhusu dini husika au dini mbalimbali akiwa na mawazo huru, akifanya uchambuzi wa vitabu na kupitia vyanzo mbalimbali vya dini yenyewe/zenyewe na vyanzo vingine huru.

Katika Religious education/studies Mkristo anaweza kusoma kuhusu ukristo, uislamu, uhindu, ubudha, dini za kale zilizopotea n.k Muislamu pia hivyo hivyo anaweza kusoma kuhusu Uislamu, Ukristo, uhindu na dini nyingine.

Kwa upande mwingine kama mtu yuko katika kujifunza/kuelewa dini yako kwa kutumia kitabu/vitabu na vyanzo vingine vya dini yake tu kwa minajali ya kueilewa , kuwa na imani zaidi na kuishi imani na maadili ya dini husika hiyo sio elimu ya dini tena bali ni mafunzo/maelekezo ya dini.
Mkuu kwanza tupe maana ya neno Elimu, ili tujue tofauti ya Elimu na maelekezo/mafundisho
 
Mara nyingi sana waswahili huwa wanazungumzia mtu kupata elimu ya dini lakini kiuhalisia huwa wanamaanisha ni mafunzo/maelekezo ya dini ya mtu husika.

Elimu ya dini au kwa Kingereza "religious education/studies" ni ile elimu ya darasani mtu anayosemea kuhusu dini husika au dini mbalimbali akiwa na mawazo huru, akifanya uchambuzi wa vitabu na kupitia vyanzo mbalimbali vya dini yenyewe/zenyewe na vyanzo vingine huru.

Katika Religious education/studies Mkristo anaweza kusoma kuhusu ukristo, uislamu, uhindu, ubudha, dini za kale zilizopotea n.k Muislamu pia hivyo hivyo anaweza kusoma kuhusu Uislamu, Ukristo, uhindu na dini nyingine.

Kwa upande mwingine kama mtu yuko katika kujifunza/kuelewa dini yako kwa kutumia kitabu/vitabu na vyanzo vingine vya dini yake tu kwa minajali ya kueilewa , kuwa na imani zaidi na kuishi imani na maadili ya dini husika hiyo sio elimu ya dini tena bali ni mafunzo/maelekezo ya dini.
Nakataa elimu ya dini kwa upande wa uislamu imekamilika na inajitenga kama elimu ya dini nia ikiwa ni kuielewa dini yako na hukmu zake kiundani kuna topics nyingi sana ikiwemo lugha , Sharia, Qur'an, Usul al-fiqh na Hadith na zote hizo zina vi sub topic vingi vingi mno ndani yake .

kuhusu kuzisoma dini nyingine haujakatazwa ila haihitajiki kusoma dini nyingine ili kuita msomi wa dini ya kiislamu hizo ni ziada tu mara nyingi wanaosoma dini tofauti huwa ni wale wanaoegemea kwenye da'awa (ulinganiaji ).
 
Nakataa elimu ya dini kwa upande wa uislamu imekamilika na inajitenga kama elimu ya dini nia ikiwa ni kuielewa dini yako na hukmu zake kiundani kuna topics nyingi sana ikiwemo lugha , Sharia, Qur'an, Usul al-fiqh na Hadith na zote hizo zina vi sub topic vingi vingi mno ndani yake .
Hiyo sheria ya dini ya Kiislamu ingekuwa moja kwa Saudia na Iran ndio ungesema imekamilika.
 
Nimekuelewa, lakini elimu ni neno pana sana lina maana nyingi, kwahiyo mafunzo, maelekezo, mafundisho, yote yanaweza kuchukuliwa kama elimu.

Wewe unamaanisha mtu aliyesoma theology chuo sio sawa na muumini wa dini flani, yeye atakuwa amejifunza kitaalamu zaidi
 
Kwamfano viongozi wanajua vingine ni uongo ila wanafundisha uongo huo huo tu
 
"Systematic"
Systematic means a consistent Flow of something.

Mafundisho na maelekezo pia yapo katika mpangilio na hutolewa kwa hatua na ngazi maalum. Elimu ya dini sio katika mahubiri au mawaidha tu, zipo taasisi maalum kwaajili ya elimu hiyo.
 
Back
Top Bottom