Mafunzo Usindikaji Wa Mbege!

Alvin Slain

JF-Expert Member
Joined
Aug 30, 2011
Posts
6,375
Reaction score
3,663
Habar jf? Bila shaka nyie ni wazima wa afya! Kabla ya yote nitakuwa si mwenye busura, nisimpomshuku Mungu mwenye enzi, na vitu vyote vimekuwepo kwa ajili yake.Nina ndugu yangu ameshindwa kufanya kazi. Kutokana na mtaji wake ni mdogo. Lakini hata hivyo nimemshauri aangalie eneo aliloko ni kitu gani anaweza kukimotor.mwishowe kadai angependa kusindika pombe ya kienyeji aina ya mbege. Kwa maana hiyo anahitaji kuihifadh katika chupa! ila mafunzo yoyote hana! NAKUOMBENI KWA TAADHIMA MWENYE UJUZI KIDOGO AUDONDOSHE HAPA! Wenu Katika Jamiiforum Kutoka Arusha!
 
kuna mzee mmoja yupo mwika, ni hodari wa upishi wa hiyo kitu, lakini hana simu. . .
 
Hapa naona kuna vitu viwili
1. Kuihifadhi, hapa anabidi afanye uchunguzi kidongo, yaani vipimo vipi inabidi atumie katika kuihifadhi hio mbegu, kuna hii kitu mimi huwa naitumia katika kupresave wine nayotengeneza inaitra citric acid, mfano katika 20lts huwa natumia kijiko kidogo cha chai kimoja, na kama huna hio citric acid unaweza kutumia malimau 6 hapa namaanisha juise ya,hayo malimau 6

2. Packing, hapa kuna,ishue maana inategemea na wewe mwenyewe uwezo,wako,kifedha, ila nigekushauli kuanza na kurecycle chupa za plastic za maji madogo hsdi pale mwenyewe utaona kuwa kimtaji ,unaweza kumudu kutengeneza chupa za kwako mwenyewe, but ukitimia chupa za glass ni,gari sana kwani kwa mtu,anayeanza ni vigumu,kumudu garama

Well huu ndo ushauri wangu mdogo,naoweza kukusaidia ndugu
 

Pamoja sana Mkuu.

Namna ya kuihifadhi.
 
Utafiti ulishafanyika ikagundulika kuwa mbege huwezi kuifadhi kwenye chupa kama bia nk
Hii ni kutokana na sukari iliyopo kwenye ndizi kuwa nyingi sana
Sasa inakuwa vigumu kuikontro sukari ambayo ndio husababisha mbege kubadilika ladha kila baada muda fulani
Na baada ya siku mbili kuharibika kabisa
 
Sasa hapo inabidi ucheze na natural yeast ambayo ndo inasababisha iendelee kufamenti pasipo kuisha. So endelea kufanya utafiti jinsi ya kufament and storage nami hapa nilipo ntaendelea kuifanyia utafiti nikipata I kitu nitapost
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…