kaka ni kweli ufanyalo lakini kwa kuwa ni mafunzo ya masaa kadhaa ni bora ujitahidi ufike hotel maana ni kama masaa 5 sidhani kama naweza summarize kwa hapa
kaka ni kweli ufanyalo lakini kwa kuwa ni mafunzo ya masaa kadhaa ni bora ujitahidi ufike hotel maana ni kama masaa 5 sidhani kama naweza summarize kwa hapa
Hahahaaaa, unasema bure halafu mtu akifika unamwambia achangie hela ya vifaa ama mafuta ama kemikos, teh teh. . . kunaugum gani kusema tutafundisha kusindika karanga au muhogo? kuficha huku kunakitu nyuma ya pazia