Mafunzo ya kilimo cha kisasa cha greenhouse

Now this is what am talking about.....halafu hiyo show unayosema niliiona hata mimi
 
Hiyo gharama ni 500,000 au?naona ipo chini sana kaka.fafanua zaidi ni material gani zinatumika!
 
Kabla hujanunua kitabu unahitaji some information za kukupa sababu ya kununua kaka..,na sababu hazifanani.mi nimeona ni muhimu kujua hilo,ww waweza kuona tofauti,go ahead.
 
mkuu tunashukuru lakini !!!! angalizo

mafunzo yanayokuwa na mafanikio huendana na vitendo (practical) haswa katika field za kilimo na mifugo .... hivyo ni muhimu tukishuhudia shamba darasa ambalo ni lako wewe na tujihakikishie umewahi wewe mwenyewe kufanya kilimo kwa kutumia greenhouse .... somo la shamba darasa kwa uhalisia litoe mwanga wa gharama zote na mafanikio ya mavuno (yield) hivyo basi hicho kitabu unachouza kitakuwa ni elekezi tu pale unapokuwa unafanya kilimo kwa kutumia greenhouse kwa vitendo

utawahamasisha watu pale watakapoona shamba lako na mavuno yake wewe mwenyewe na siyo shamba la mjomba wako na mamaNa au GreenHouse ambaye ni member humu jf na anayo post ya greenhouse pia alikuwa na kipindi chake katika runinga kituo cha TBC1

vinginevyo mimi naona hii project yako haina tofauti na ku-google ... "greenhouse training manual"

naomba mrejesho
 
Naungana na ww mkuu!
Huyu jamaa hataki hata kutoa maelezo zaidi yanapohitajika.Anachohitaji ni ww kununua hiyo ebook!
Nadhani wajasiriamali wengi wanahitaji mafunzo ya sales and marketing
 
Katika nchi hii kla mtu yuko huru kununua au kufanya chochote anachotaka, halazimishwi mtu. Atakayetaka kununua kitabu changu, anakaribishwa. Anayependa vya bure, sawa. Ikumbukwe vya bure huja na strings attached.
 
Biashara. Tupe tu aina ya material nasi tutahamasika.Toa basic information mkuu
 
Katika nchi hii kla mtu yuko huru kununua au kufanya chochote anachotaka, halazimishwi mtu. Atakayetaka kununua kitabu changu, anakaribishwa. Anayependa vya bure, sawa. Ikumbukwe vya bure huja na strings attached.

We huwezi tu kuwa na confidence namna hii. Inawezekana aidha watu wananunua sana vitabu vyako maana naona kila kwenye thread zako kuna sentensi ya namna hii. Au umeridhika na maisha. Zaidi nahisi ni kuwa watu wananunua sana copy zako maana kwa ninavyojua watu wengi wanarespond sana katika products zinazohusiana na information.
 
Katika uzi huo, minimum capital anayohitajika kuwa nayo mtu ni sh mil. 2.5. Nani katika nchi hii mwananchi wa kawaida anaweza kuwa na sh. mil. 2.5? Au na wewe ni capuitalist unavutia biashara kwako? Wale walee

Umeona eeee
 
Katika uzi huo, minimum capital anayohitajika kuwa nayo mtu ni sh mil. 2.5. Nani katika nchi hii mwananchi wa kawaida anaweza kuwa na sh. mil. 2.5? Au na wewe ni capuitalist unavutia biashara kwako? Wale walee

Mkuu, wewe unataka Mtaji wa Mradi wa Kilimo kwa Greenhouse uwe wa Sh. ngapi? Sh. 2.5m bado ni nafuu sana. Jaribu kucheki na Balton (Sijui kama nimepatia Spelling) au cheki na Wakenya kisha ulinganishe bei na hii ya huyu unayetaka kumuita "capuitalist".

Isitoshe huyu Mwananchi unayemwita wa kawaida ambaye hawezi kuwa na Mtaji wa Sh. 2.5m za kuwekeza kwenye Kilimo chenye Tija, ni huyo huyo ambaye ukimpigia hesabu ya fedha anayotumia kunywa pombe na kustarehe kwa Mwaka zinazidi hiyo Sh. 2.5m

Huyo huyo Mwananchi unayemwita wa kawaida anashauriwa aungane na Wananchi wengine ili waunganishe Mitaji na kuweza kuanzisha Miradi ya kuwakomboa!
 

Kigezo chako kikiwa kipi hasa?
 
Nadiliki kusema wewe ni Tapeli ,ulikuja hapa na uzi wako wa kuuza mashine za kutengeneza mkaa,ukarudi na uzi wa kuuza kitabu cha jinsi ta kutengeneza mkaa ,ulipoulizwa maswali ya msingi ukawa unalazimisha watu wanunue kitabu chako.Leo tena unajifanya mjasiriamali wa Greenhouse halafu ukiulizwa maswali ya msingi unaleta majibu ya juuri.
Katika nchi hii kla mtu yuko huru kununua au kufanya chochote anachotaka, halazimishwi mtu. Atakayetaka kununua kitabu changu, anakaribishwa. Anayependa vya bure, sawa. Ikumbukwe vya bure huja na strings attached.
 

Naona nyie wawili lenu moja. Mnaweka maslahi yenu mbele kuliko kuwasaidia wananchi wa kawaida wanaojaribu kuinua maisha yao kwa kilimo ambacho ndio uti wa mgongo wa maisha yao. Angalau huyu mdau Biashara2000 amejaribu kusema yeye anaweza shauri ni jinsi gani unaweza anza na sh. 500,000 ambayo ni mara tano chini ya kiwango chenu. Msiweke matumbo yenu mbele jamani.
 

Katika nchi hii kla mtu yuko huru kununua au kufanya chochote anachotaka, halazimishwi mtu. Atakayetaka kununua kitabu changu, anakaribishwa. Anayependa vya bure, sawa. Ikumbukwe vya bure huja na strings attached.
 

Huoni wewe kumuita mwenzako tapeli ni kumvunjia heshima? Inaonekana wewe hujiheshimu. Mwenzio kawasaidia watu wengi wamejiajiri wenyewe kwa sababu ya mafunzo yake ya kufundisha mkaa. Soma thread yake ya mkaa uone watu wanavyosema wamesaidiwa na huyu mdau. Huoni wewe unam judge bila sababu ya msingi. Au ni wivu tu umekukaba? Ondoa hiyo stinking thinking. Watu hawaihitaji siku hizi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…