Mafunzo ya ualimu sayansi.

Lepapalongo

Member
Joined
Jan 28, 2009
Posts
92
Reaction score
11
Kama kunamtu unaemfaham aliemaliza form6 kuanzia 2003 mpaka sasa masomo ya SAYANSI na kupata (S S S) yani (IV-18, au (SS) IV-19 wanaombwa kufika moja kwa moja chuo cha ualimu morogoro kwa mafunzo maalum ya kujiunga na diploma ya ualimu. Wajulishe wengine kwa maelezo zaidi wasiliana na mkuu wa chuo 0658180854.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…