[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] acha nicheke tu, au muda ulikuwa bado? Ila jamaa kitasa itakuwa, pesa zote zile kashindwa kuwanunulia wananchi ubwabwa[emoji2960]
Kumbukeni alifungua branch ya CRDB huko Chatto ili kujipendekeza kwa Jiwe ingawa kulikuwa hakuna biashara; na imewalazimu kulifunga lile tawi kwani ni hasara tupu!!!