Zero Hours
JF-Expert Member
- Apr 1, 2011
- 12,942
- 18,669
Mkeo
Unazengua ujue!
Nyinyi mnatafuta ugomvi na jamaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Nilimwona wakati akiwa kilombero pale mkuu
[emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40]
Hii roho mbaya hiii. Itatucost sana. Sjui aliona tunawafaidisha sana ao wakenya?Kenya inaipa Tanzania soko kubwa LA vyakula lakini watanzania naona hawadhamini ule uhusiano, wanawadharau wakenya sana. Imemfaidi vipi magufuli kufunga biashara ya kuuza bidhaa za shamba nje ? Anawatesa wakulima tu!!
Hapana mkuu, mimi nimeweka kumbukumbu sawa. Maana yeye mwenyewe kasema mkewe kanunua vitunguu hvyo kwa 300Nyinyi mnatafuta ugomvi na jamaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
we kwenu si Mwanza?Kawa sasa mikoa ya Arusha na Moshi ambapo vitunguu vinalimwa kwa wingi kumeanza kuwa na mafuriko ya vitunguu masokoni. Wakulima wanakosa wamuuzie nani. Serikali imediscourage exports hasa kwa jiranibzetu wakenya. Sasa tule vitunguu vyetu wenyewe. Wakulima wanatafta wakumuuzia hta kwa 40,000 ila wanakosa.
Leo mke wangu kanunua hivi vitunguu Arusha kwa sh 300.
This is JF mkuu.Mkeo
Duh. . Nilikuwa nataka kujikita kwenye kilimo hiki. .naogopa maana zao lenyewe sijui kama unaweza kuhifadhi ghalaniKawa sasa mikoa ya Arusha na Moshi ambapo vitunguu vinalimwa kwa wingi kumeanza kuwa na mafuriko ya vitunguu masokoni. Wakulima wanakosa wamuuzie nani. Serikali imediscourage exports hasa kwa jiranibzetu wakenya. Sasa tule vitunguu vyetu wenyewe. Wakulima wanatafta wakumuuzia hta kwa 40,000 ila wanakosa.
Leo mke wangu kanunua hivi vitunguu Arusha kwa sh 300.
I beg your pardon mkuuThis is JF mkuu.
Dah..... Kumbe yule ndiyo waif? [emoji15] [emoji12]Kawa sasa mikoa ya Arusha na Moshi ambapo vitunguu vinalimwa kwa wingi kumeanza kuwa na mafuriko ya vitunguu masokoni. Wakulima wanakosa wamuuzie nani. Serikali imediscourage exports hasa kwa jiranibzetu wakenya. Sasa tule vitunguu vyetu wenyewe. Wakulima wanatafta wakumuuzia hta kwa 40,000 ila wanakosa.
Leo mke wangu kanunua hivi vitunguu Arusha kwa sh 300.
Nipo kikaz mzawe kwenu si Mwanza?
Huku ni kupeana umaskini tu, mkulima kalima kwa gharama zake, unamzuia asiuze nje ya nchi tena ni jirani yetu wakati soko la ndani limeporomoka, ukiambiwa serikali ya ajabu unasema ni uchochezi!!!!! Daaah...!!Kenya inaipa Tanzania soko kubwa LA vyakula lakini watanzania naona hawadhamini ule uhusiano, wanawadharau wakenya sana. Imemfaidi vipi magufuli kufunga biashara ya kuuza bidhaa za shamba nje ? Anawatesa wakulima tu!!
can you hear yourself? mambo sio marahis kama unavosema weweEeenh, ndo mkome kuuza raw,,, sindika,,, shda iko wapi??? unalima miaka 3+ bado uko kwenye raw??
Na mi nasema vishuke tu had tununue kitunguu kwa centi
Kwa dsm sawa. Ila hata huku dsm bei imeshuka mabibo sokoni ni 700 hadi bukuNimevihesabu hivyo vitunguu vipo 33 nikusema kuwa kila kitunguu kanunua kwa sh.10 na nyongeza vitunguu vitatu.Kiuhalisia hapo ilitakiwa atumie sh.3300 kununua vitunguu hivyo kwa bei ya sh.100@