mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,778
- 7,145
- Thread starter
-
- #41
Bora hata huyo ambaye nyumba yake tumeiona imezingirwa na maji!kuliko wengine ambao wanatuonyesha majengo ya kale
teh teh...
Teh teh too much negativity in mind ni hatareeeee sana tu. Hafu kei ndo nini ati! Mtu anakuaga alivo kulingana na ufikiri wake ulivyo tu.
Kabla ya ujenzi, kiwanja hiki kilikuwa na njia kuu mbili za maji ambazo wakati wa mvua, zilikuwa zinatiririsha maji kuelekea bondeni, lakini baada ya ujenzi, nguvu ya yale maji yakadondosha ukuta.
Sasa ukiacha ukuta uliobomoka mwanzoni, kuna njia nyingine ambayo inapitisha maji mengi zaidi ambayo inapita kwenye ukuta wake mwingine na tayari yameanza kuuchimba kwa chini. Mnaweza kuja kuangalia, alisema jirani mmoja aliyekataa kutaja jina lake.
Aliekua anamuhoji ni nani!??
Namsubiri ivan amfadhili king amuwekee fanicha ndanii sio fanicha zile aisee
Aliekua anamuhoji ni nani!??
Lakini huyu bwana Chibu si nasikia ana mimyumba kibao sizani km atakua na stress kiviile.
Halafu bwana Chibu sizani km atashuka kwa style hii maana hakauki midomoni mwa watu hata taa yake ya nje ikiungua watu watakuja kuanzisha uzi, aisee endeleeni kitupa update si wa mikoani.
Wangesema kajenga juu mto sawa wacheni mtoto wa watu...
Mbona hawakusema ulipobomoka ukuta mnadhani watoa bima wajinga?
Nyumba ina bima hiyo mwacheni alale...
Alivyoambiwa mwananyala amenunua kijiji akabweteka na sifa.Acha ubwege wewe hata sisi wa Dar tunasoma kama wewe kwenye social media, nani mwenye muda mchafu wa kwenda nyumbani kwa mtu?
Shoga hata mimi sina utaalamu lakini huniuzii kiwanja sehemu ambayo siyo.
Kwanza nitaanza kufanya utafiti wa hilo eneo hata kwa kuwauliza majirani au wenyeji wa maeneo hayo.
Sio kila kitu kinahitaji elimu ya darasani.
Wengine hawana hata kalaki wanawaita watu maskini_B
Teh TehNgoja tumsubiri ivan anaweza fadhili kila kitu pakapendezaaaaa
Unni kama una mpango wa kununua kiwanja wakati wa kuangalia eneo ndio huu.. janga halina mwenyewe
Hata kupanga pia unni...
Aigoooo nimekumiss kweli.
kama ukuta alilipwa 14mil. ikidondoka nyumba yote atalipwa kiasi gani??
Same here babe,.. niko kwa kitu.cha 49 Days