Mafuta au manukato ya Bint Sudan

Mafuta au manukato ya Bint Sudan

Joined
Oct 17, 2017
Posts
30
Reaction score
33
Wadau Habari zenu,

Naomba kufahamu zaidi kuhusu haya manukato (mafuta) yanayoitwa Bint Sudan ambayo watu tofauti huyatumia kama manukato tu ya kawaida na wengine tiba ya mambo tofauti kama kunuka KIKWAPA, lakini pia wengine hutumia kitaalamu zaidi kwa ajili ya kuondoa Nuksi na Mikosi.

Sasa mimi ninachohitaji kujua, ni kweli kwamba ukiyatumia kwa kujipaka yanaweza kuleta majini kwako au kwa mtu wa karibu yako?

Maana wengine wanayasifia na mengine wanayaponda na kudai yana uhusiano wa karibu sana na majini (mapepo).
 

Attachments

  • 1712999629417.jpg
    1712999629417.jpg
    153.1 KB · Views: 27
Wadau Habari zenu,

Naomba kufahamu zaidi kuhusu haya manukato (mafuta) yanayoitwa Bint Sudan ambayo watu tofauti huyatumia kama manukato tu ya kawaida na wengine tiba ya mambo tofauti kama kunuka KIKWAPA, lakini pia wengine hutumia kitaalamu zaidi kwa ajili ya kuondoa Nuksi na Mikosi.

Sasa mimi ninachohitaji kujua, ni kweli kwamba ukiyatumia kwa kujipaka yanaweza kuleta majini kwako au kwa mtu wa karibu yako?

Maana wengine wanayasifia na mengine wanayaponda na kudai yana uhusiano wa karibu sana na majini (mapepo).

Wadau Habari zenu,

Naomba kufahamu zaidi kuhusu haya manukato (mafuta) yanayoitwa Bint Sudan ambayo watu tofauti huyatumia kama manukato tu ya kawaida na wengine tiba ya mambo tofauti kama kunuka KIKWAPA, lakini pia wengine hutumia kitaalamu zaidi kwa ajili ya kuondoa Nuksi na Mikosi.

Sasa mimi ninachohitaji kujua, ni kweli kwamba ukiyatumia kwa kujipaka yanaweza kuleta majini kwako au kwa mtu wa karibu yako?

Maana wengine wanayasifia na mengine wanayaponda na kudai yana uhusiano wa karibu sana na majini (mapepo).
Mafuta ya Binti sudan hayo uliyo onyesha ni feki yenyewe orignal yana kifuniko chekundu.
image-1.png




View:
 
Back
Top Bottom