Naangalia KTN ya Kenya Muda huu Wanalia kwamba Mafuta yamepanda na kuwa Bei juu Mno ikilinganishwa na Nchi jirani kama Tanzania...Mchambuzi huyu anasema Rais wa Kenya amekuwa akipoteza Fedha Nyingi kwa Safari za Ulaya na Amerika akiambatana na Lundo la Watu huku Mkataba Mbovu wa Reli na Wachina ukizidi kuligharimu Taifa hilo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app