Iyokopokomayoko
JF-Expert Member
- Sep 15, 2011
- 1,785
- 442
Km we muislamu mafuta ya nguruwe ndo sahihi kwako....
Mdau nilipotea ila yale mafuta ya queen elizabeth napofahamu wanauza yaliisha bt embu ni.pm nkupe direction unapoweza kuyapata nduguyangu
Queen Elizabeth ni noma
Naomba kujua ni mafuta gani mazuri kwa ngozi yangu, ngozi yangu siyo kavu na wala haina mafuta mengi. Kwa sasa napaka Nivea Dry Skin, lakini haifanyi ngozi yangu kuwa soft (muonekano mzuri).
Naomba ushauri nitumie mafuta gani?
Naomba kujua ni mafuta gani mazuri kwa ngozi yangu, ngozi yangu siyo kavu na wala haina mafuta mengi. Kwa sasa napaka Nivea Dry Skin, lakini haifanyi ngozi yangu kuwa soft (muonekano mzuri).
Naomba ushauri nitumie mafuta gani?