kwahiyo hayo mafuta ni ya mapenzi au upendo?Hapana mkuu, mapenzi yana nafasi yake katika taifa letu la Tanzania. Mwalimu Nyerere alituhusia zaidi upendo
Kupanga ni kuchagua mzee. Utatumia hata alizet tu au huko hamnaNdo hivyo mkuu, napata wasiwasi maake siku zinazidi kuyoyoma😭
Unaweza kukuta hata nae pia alikua anakushangaa,kwanini awashe moto badala ya data?Kuna mwanamke nilikua nikimshangaa sana.....
Asubuhi anapo amka anawasha data badala ya kuwasha moto..🤣
Au mafuta ya taaMawese yatamfaa zaidi.