Mafuta gani yatang'arisha ngozi yangu?

Mafuta gani yatang'arisha ngozi yangu?

cattoon

Senior Member
Joined
Apr 9, 2018
Posts
142
Reaction score
43
Nahitaji kujua aina ya mafuta ambyo nikipaka ngozi yangu itakuwa nzuri ya kung'aa siitaji mafuta yanayochubua nahitaji nibaki kama nilivyo ila niwe soft
 
Tumia bizaa za didhaa za grace
ZOA zoa sabuni yake na lotion ni zuri utanimbia mwenyewe zipo maduka ya dawa na vipodozi no 0782805777 +0712233653
 
Itategemeana na aina yangoz yako inaweza ikawa sawa kwako kwa mwengne isiwe sana waone wataalam wa mambo ya vipodozi
 
Kwa ulikofikia tafuta gundi flani ambayo huchemshwa kwenye pipa na kupaka kwenye nyumba kabla ya kupiga rangi maana hutaki kuishi kama Mungu alivyokuumba
 
Tumia bizaa za didhaa za grace
ZOA zoa sabuni yake na lotion ni zuri utanimbia mwenyewe zipo maduka ya dawa na vipodozi no 0782805777 +0712233653
Huyu jamaa naona anatafuta fursa kwa kila njia, kuna sehemu nimemuona anajiita sijui nabii akishirikiana na sheikh mmoja anayejiita nabii iliasa
 
Back
Top Bottom